Sony bravia LED inch 32 inauzwa

Sony bravia LED inch 32 inauzwa

ukienda mlimani city, hiyo tv ya huyu jamaa wanauza laki sita na nusu. kama upo dar sioni sababu ya kununua tv iliyotumika toka mwaka jana kwa laki tano+gharama za kutumiwa dar, usalama wake utakuwa mashakani na haujui ina tatizo gani mpaka anauza. Ni bora uende mlimani city la laki sita na nusu yako tena duka la sony ufanye mambo ya uhakika pamoja na guarantee
 
ukienda mlimani city, hiyo tv ya huyu jamaa wanauza laki sita na nusu. kama upo dar sioni sababu ya kununua tv iliyotumika toka mwaka jana kwa laki tano+gharama za kutumiwa dar, usalama wake utakuwa mashakani na haujui ina tatizo gani mpaka anauza. Ni bora uende mlimani city la laki sita na nusu yako tena duka la sony ufanye mambo ya uhakika pamoja na guarantee

Acha uongo kam hujui kitu bora unyamazee....kuna mwenzio umu kanipgia cm cmjui nan kaenda kuulzia dukan kaambiwa laki.7 na nusu mwsho..hzo unazosema ww hazisupport 4k na nlishakuwa nayo... Ila mzigo nlishauuza uku uku jaman...ila kam m2 hujui ki2 nyamaza tu
 
Back
Top Bottom