Sony bravia LED inch 32 inauzwa

Sony bravia LED inch 32 inauzwa

Nauza Sony bravia 4k za mwaka jana inch 32..nmenunua mwaka jana mwezi was 11..bei ni laki 5 na nusu..haina tatizo lolote..kwa anaehitaji anipm

weka namba ya simu tuongee hiyo biashara nahiitaji mkuu
 
Kwa hyo bei yako inakudodea ni bora tu ubadilishe mawazo usiuze,yani kitu kikoshatoka tu dukani bei yake inashuka 50% kibongobongo
 
Kwani lazima utumie movie za 4k...kwan ukinunua deck ya DVD player lazma utumie DVD kam hauna c unatumia ata vcd..haimaniish kwamba inatumia movie za 4k 2pu

namaanisha 4k ni marketing gimmick ambayo ukija kwenye uhalisia hata huko kwa wenzetu kupata content za 4k ni tabu tupu, ni sawa na kuwa na meli kubwa kwenye bwawa. btw, uko mbali tu ungeshapata mteja.
 
mjaa naitaka Nina Mia 370 nipo dar sasa Nina waungwana kama 100 wapo mwanza sema hupo wapi niwatumie sema unataka nimtume wa haiana gani

Kuna mwenzio kaja 450 cash nmekataaa...katafte samsung inch inch 23 led unapata kwa pesa hiyo
 
Kuna mwenzio kaja 450 cash nmekataaa...katafte samsung inch inch 23 led unapata kwa pesa hiyo

dah mwangu 550 kuirudisha mbaka refers dar log. Nniletee dar 500 hipo nakaa ununio tegeta
 
Back
Top Bottom