Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 28,372
- 81,814
Nadhani TFF wangeweka kanuni kwa vilabu vyote vya ligi kuu kuhakikisha wachezaji wote walio sajiliwa wanakuwa na Bima ya Afya ya daraja kama lile la wafanyakazi wa Serikali.
Pia tuendelee kuwekeza kwenye Academy kwa vijana, ili tupate wachezaji walio kamilika. Badala ya kuendelea kuwakumbatia wachezaji wanao amini mpaka leo katika kupigana misumari, na pia bangi kama 'booster'.
Pia tuendelee kuwekeza kwenye Academy kwa vijana, ili tupate wachezaji walio kamilika. Badala ya kuendelea kuwakumbatia wachezaji wanao amini mpaka leo katika kupigana misumari, na pia bangi kama 'booster'.