Pametulia, polisi wanashika doria ya nguvu. Mhsh Dr. Norbert Mtega ameinanga serikali kuacha majibu ya ujanja ujanja kwenye shida za wananchi. Amesema wawe wepesi kujibu kero za wananchi. Ameendelea kuwa yaliyotokea Arusha, mwanza, mbeya, tabora na songea serikali isipuuze ni ishara kuwa kuna jambo. Amewaasa vizuri sana!