Mtanzania
You are missing the point here, binafsi sishabikii Dowans wala sina maslahi yoyote na Dowans, ninachosema tutumie sababu za kiuchumi kuamua kama tunataka kununua au la na wala sio sababu za kisiasa. Kama hakuna sababu za kiuchumi, basi hakuna haja ya kununua, hiyo ndio point yangu tokea mwanzoni. Kitu ambacho mimi napinga ni hii sababu ya kwamba tusinunue kwasababu Dowans watafaidika, kwa mimi ningeangalia je taifa litafaidika?