VAPS
JF-Expert Member
- Jul 10, 2012
- 5,610
- 13,160
Kama taifa tuna vita kubwa kupambana na maadui Ujinga, maradhi, umasikini (Ngazi ya Mtu, Kaya, Kijiji, Mtaa na Taifa).
Nifafanue kidogo ujinga mbali ya kusoma na kuandika lipo la ustawi na utawala bora. Hivyo hitaji la katiba bora linategemea hekima, busara, akili na utashi wetu kama taifa kujitambua.
Habari muhimu za adui ni vyenzo muhimu katika kupanga mashambulizi.Hivyo mbali ya tekinolojia watajitahidi wawezavyo kupandikiza watu wao ili kuweza kupata taarifa za adui kwa wakati.
Niwapongeze sana CHADEMA japo ni haki yenu, mbinu iliyotumika ni fursa muhimu kwa chama. Msipoteze muda wapeni baraka. Ndani masaa haya machache kubalini ofa uteuzi vile Viti Maalumu Rais msione aibu. Watanzania na dunia inajua yote. Mapambano yaendelee ndani na nje ya Bunge.
Nifafanue kidogo ujinga mbali ya kusoma na kuandika lipo la ustawi na utawala bora. Hivyo hitaji la katiba bora linategemea hekima, busara, akili na utashi wetu kama taifa kujitambua.
Habari muhimu za adui ni vyenzo muhimu katika kupanga mashambulizi.Hivyo mbali ya tekinolojia watajitahidi wawezavyo kupandikiza watu wao ili kuweza kupata taarifa za adui kwa wakati.
Niwapongeze sana CHADEMA japo ni haki yenu, mbinu iliyotumika ni fursa muhimu kwa chama. Msipoteze muda wapeni baraka. Ndani masaa haya machache kubalini ofa uteuzi vile Viti Maalumu Rais msione aibu. Watanzania na dunia inajua yote. Mapambano yaendelee ndani na nje ya Bunge.