Somo kwa wahafidhina wa Laliga

Je Timu ya Uengereza yaweza Kucheza Fainali ya UCL?

  • Ndiyo

  • Hapana


Results are only viewable after voting.
Burudani gani iliyopo Laliga?
Kukaa Kwenye TV kabla Mpira Haujaanza ukawa unauhakika Barcelona anashinda Ndiyo Burudani au?

Ligi isiyo na Ushindani
ya Timu Mbili Real na Barcelona Haiwezi kuitwa Ligi Bora...
Bali Kuna Mechi Bora tu ya El Clasico...
Atleast umechambua. Lakini Epl kuna el classico hizi: Man U vs Liverpool, Man U vs Arsenal, Man U vs Chelsea, Man U vs Man City, Man U vs Spurs, Liverpool vs Arsenal, Liverpool vs Chelsea, Liverpool vs Man City, Liverpool vs Spurs, Arsenal vs Chelsea, Arsenal vs Spurs, Arsenal vs Man City, Chelsea vs Man City, Chelsea vs Spurs, Man City vs Spurs, hizi ndo el classico epl ambazo lazima uziangalie tu.
 
Arsenal kutoshiriki UCL kumeinufaisha EPL ndio maana now wanatamba UEFA

Arsenal alikuwa uchochoro kwa Wahispaniola na Wajerumani
Naombea Arsenal hata Europa asichukue maana akija UCL hana faida !!!
Acha kuzingua kwani arsenal ilikuwa timu pekee au Arsenal kuwa uchochoro inapelekeaje timu zingine za EPL kutolewa.
 
Wakati huo huo watu ambao wamekosa namba la liga huwa wanaenda England...

Kumbuka Fabregas na Sanchez..

La liga huwa wanachukua cream tuu kutoka E.P.L kama Suarez, Bale na wengineo wakati E.P.L inachukua waliokosa soko la liga na kuja England..
Bora umewaambia ukweli Bale amechuja Madrid Man wanataka kuzoa wakat huo De Gea anashine anataka kwenda Madrid, haha timu bora na wachezaji waliochuja
 
Real msimu huu yupo hoi timu haiekeweki keshachapwa na Spurs na La Liga yupo # 4 ......UCL msimu huu hakuna muujiza atajaoufanya hata apabgwe v Liverpool hapiti !!

Barca ? Msimu huu japo anaongoza La Liga lakini kuondoka kwa Neymar kumewaporomosha pia timu yao ipo ipo tu.....Hawa size yao Spurs tu na msimu uliopita alichofanyiwa na PSG ile mbovu kinajulikana

Sevilla ? Huyu nae tia maji tia maji

Atletico ? huyu kajichokea kabisa bora ajapambabe na Arsenal Europa
Huyu alipigwa na Chelsea kulekule Spain

Huko Bundesliga kabaki Bayern pekee ambaye nae kiwango chake nsimu huu hakieleweki
Dirtmund alipigwa kata funua na Spurs nje ndani

Timu pekee ya kuwatishia Waingereza ni PSG tu

Acheni kukariri
Na waangalie na robo fainali zisiingie zote!
 
aiseee ila tukumbuke kutomtusi mamba kabla hatujavuka mto.....
juventus alipgwa 3 kimatani matani na real akabeba mara ya 2
Ila uangalie na performance alokuwa nayo madrid. Ilikuwa kubwa mno, kiasi kwamba hata Man city huyu asingefua dafu. Tuache ushabiki msimu huu hizi timu za epl moto wake tumeuona.
 
Back-to-Back??
Ukiongelea back to back Hata Uengereza Ni Timu Mbili Zimeshawahi Kuchukua CL back to back rudia Historia uone.. Lakini Hapa Mimi sipo kihistoria Bali Naongelea Wakati Uliopo na Kinachoendelea...

Kwa Wakati Huu Chukua Timu 6 za juu za Laliga na Timu 6 za Juu za EPL halafu zichezeshe Uone Ukitoa Barcelona Kama Yupo Mwengine Atakayeweza Kushinda Hata Mechi Moja...

Achana na Historia Kubali Ukweli Kuwa EPL Kwa sasa ipo Juu tu...

Germany:
Timu ya Ushindani Ni Moja Beryan Pekee...

France:
Timu Ya Ushindani Ni Moja PSG Pekee...

Italy:
Timu ya Ushindani Ni moja Juventus Pekee....

Spain:
Timu za Ushindani Ni Mbili Real na Barcelona Pekee....

England:
Timu za Ushindani Ni 6:
1) Liverpool

2) Man United

3) Chelsea

4) Man City

5) Spurs

6) Arsenal

Halafu hapo still mtu anapinga ubora Wa EPL!! Jamani Hizi Akili za WaTZ zipo kichwani Kweli????
Hawaukubali huu ukweli. Timu 3 zimekwenda Spain hazijapoteza. 2 zilitoka sare i mean Liverpool vs Sevilla akichomoka kwa bahati tu Sevilla, Spurs vs RM wakati Chelsea alishinda vs ATM, na zilipokwenda UK 2 zilitoka sare moja ikavuliwa nguo i mean RM vs Spurs.
 
Wakati huo huo watu ambao wamekosa namba la liga huwa wanaenda England...

Kumbuka Fabregas na Sanchez..

La liga huwa wanachukua cream tuu kutoka E.P.L kama Suarez, Bale na wengineo wakati E.P.L inachukua waliokosa soko la liga na kuja England..

Wewe Sasa Hapa Naamini Umekula Mchicha Wa Jamaica!!!!

Na Ndiyomana Nikawa Nasema Wapenzi Wa Laliga Ni Watoto Walioanza Kutazama Mpira 2009 na Kuipenda Laliga Santander baada Ya Kumuona Mfalme Messi! Na Wale Wakubwa ni Wale Wasiojua Mpira...

Ukifanya Comparison Kwa Baadhi Ya Mambo unatakiwa Uhifadhi Kumbukumbu! Venginevyo utaishia Kuumbuka!

Nitakupa Baadhi Ya Mifano tu ili ujione wewe Ni Kunguni Kimawazo!!

1) Real Walimsajili Michael Essien (Alikuwa Anaoze Benchi Chelsea)

2) Atletico Wamemsajili Torres (Alikuwa Anaozea Benchi Chelsea mbele ya Drogba)

3) Atletico Wanamtaka Diego Costa (Hana Namba Chelsea na Kafukuzwa)..

4) Celts Vigo Wamemsajili
Iago Aspas (Alikuwa Bench Liverpool)

5) Valencia Wamemsajili Samir Nasri (Bench Arsenal)

6) Real Walimsajili Arjen Robben (Bench Chelsea)

7) Atletico Walimsajili Diego Forlan (Bench Man United)


7) Real Walimsajili Jersy Dudek (Bench alimkimbia Pepe Reina Liverpool)

8) Barcelona Walimsajili Gerrard Pique (Bench Man United)

10) Hata Florent Sinama Pongole Alikuwa Bench Liverpool Wakati Spain Kawa Star.

11) Liverpool Walimsajili Fernando Torres (Mchejazi Wao Muhimu Aliyevuliwa Ucaptain Atletico ili aje Liverpool
)

12) Man City Walimsajili Aguero (Panga pangua Atletico)

13) Chelsea Walimsajili Diego Costa (Panga pangua Atletico)

Na hawa Kina Juan Mata, Ander Herrera, Robinho, Ozil n.k. wote Walikuwa Panga Pangua Kule Spain...

Kwahiyo Kabla Ya KuniQuote Jua Mimi Nimeanza Kufatilia Mpira Zamani na Kumbukumbu Zote Ninazo.....

Hii Kuuziana Wachezaji Wa Bench Ni Sifa Ya Mpira Dunia Nzima Timu Zinafanya Hivyo Si EPL pekee tu.. Kwani Mchezaji Kukaa Benchi Haimaanishi Kuwa Ni Mbovu Bali Wengine Hawajapewa Nafasi tu... Kwa Mfano:-

1) Mo Salah Chelsea Alikaa Bench! Je sasahivi Wakiuziwa Na Liverpool Wataweza Kumueka Bench? (Ni Kwamba Chelsea Hakupeawa Nafasi tu akaprove)..

2) Diego Forlan Alikaa Bench Man United Kwasababu Hakuendana na Mfumo.. Lakini Alipofika Atletico Kina Etoo na Messi waliiona Shuhuli take manake Miaka Miwili Mfulilizo aliwapiku Kuwa Mfungaji Bora.

3) Robben Chelsea Hakupewa nafasi Lakini alipofika Real na Beryan Shuhuli Yake inajuilikana..

4) Sanchez ni Sawa na Henry na Ibrahimovic na Fabregas! Hawakuendana Na Mfumo Wa Barcelona lakini Hawakuwa Wabovu Hata Kidogo....

5) Gerrard Pique Hakuwa Mbovu Pale Man United lakini Kwa Wakati Hule Ni Vigumu Kucheza Mbele ya Rio na Vidic Kwani uwezo wao Ulikuwa Ni Mkubwa....

So, Jipange tena...
 
Hawaukubali huu ukweli. Timu 3 zimekwenda Spain hazijapoteza. 2 zilitoka sare i mean Liverpool vs Sevilla akichomoka kwa bahati tu Sevilla, Spurs vs RM wakati Chelsea alishinda vs ATM, na zilipokwenda UK 2 zilitoka sare moja ikavuliwa nguo i mean RM vs Spurs.


Huu Ukweli Hawataupenda :D:D:D ....

Timu 3 za EPL zimekwenda Spain Hazijapoteza Hata Mchezo Mmoja na Zimeshinda Mchezo Mmoja..

Timu 3 za La Liga
Zimekuja Uingereza Zimepoteza Mchezo Mmoja na Hazijashinda Hata Mmoja...

Still Bado Kuna Mtu Anakwambia Laliga ipo juu Ukilinganisha na EPL... Hichi Kichaa Cha Wazi Kabisa....

Hizo ↑↑↑ Ndiyo Facts Tunazotaka... Na Nyinyi Laliga-Fanboys Leteni Facts Zenu Hapa Tuone Huo Ubora Wenu Sio Porojo tu na Majisifu Ya Kihistoria...
 
Ushindani unakuja kutokana na kukosekana timu nzuri. hebu tumuingize Real Madrid EPL tuone kama patakua na ushindani au one horse race.
One horse race? How? kwani Madrid hakuwahi kufungwa na Man Utd au Arsenal? Au barca alivokuwa akitolew Jasho na chelsea mpaka abebwe, au tukumbushane madrid alivopewa miba mitatu aitafune na spurs timu ya sita kwenye EPL? nasikia CATALAN ikijetenga Barca inaweza kujoin EPL... Nina hamu itokee :D :D :D
 
Huu Ukweli Hawataupenda :D:D:D ....

Timu 3 za EPL zimekwenda Spain Hazijapoteza Hata Mchezo Mmoja na Zimeshinda Mchezo Mmoja..

Timu 3 za La Liga
Zimekuja Uingereza Zimepoteza Mchezo Mmoja na Hazijashinda Hata Mmoja...

Still Bado Kuna Mtu Anakwambia Laliga ipo juu Ukilinganisha na EPL... Hichi Kichaa Cha Wazi Kabisa....

Hizo ↑↑↑ Ndiyo Facts Tunazotaka... Na Nyinyi Laliga-Fanboys Leteni Facts Zenu Hapa Tuone Huo Ubora Wenu Sio Porojo tu na Majisifu Ya Kihistoria...
Subiri uone bingwa atakuwa nan? Kama akitoka EPL JPM ataongeza mshahara mara 10
 
1) Mimi Nakushauri Wewe Ndiyo Ukajifunze Criteria Za Ligi Bora Uone Kama Laliga itaQualify...

2) Mimi Nakataa Kukariri Historia Kwasababu Wanzi Wa Laliga Wengi Wao Hawaijuia Historia! Kwahiyo Nikitaka Historia Wao ndiyo Wa Kwanza Watakaoipinga!!

Ngoja Nikuoneshe Mfano Historia inavyofanya Kazi...

• Ni timu Mbili tu Katika Historia Ya Laliga Ambazo Zimewahi Kubeba Champion League... Nazo Ni Real Madrid na Barcelona FC.

• Ni timu tano 5 Katika Historia Ya Uengereza Ambazo Zimebeba Champion League..
i) Man United
ii) Liverpool
iii) Nitingham Forest
iv) Aston Villa
v) Chelsea

Kwahiyo Hapo Kihistoria Umefeli...

• Ni real Pekee Kwenye Laliga Aliyewahi Kushinda CL bak-to-Backback-to-back
• Ni Liverpool na Nottingham Forest Kwa EPL Ambazo waliwahi Kushinda CL back-to-back..

Mkuu Kwa Historia Laliga haina lolote Mbele EPL lakini Hizi Historia Hazina Nafasi Kwenye Sika kwa Upande wangu...
Mimi Naangalia sasa kinaendelea nini? Sio Kilichopita...
Historia kweli la liga anafeli. Tukisema hivyo maana yake Kwenye mtoano Wakipangwa Barca vs Liverpool lazima Barca akae, rejea 2007 februari Barca Akitoka kuwa bingwa wa ucl na akiwa na kikosi hatari alikaa kwa Liver alikaa Liver akiwa na kikosi cha kawaida. Kwa Barca hii na Liver hii, mh! Madrid akiwa na kikosi bora 2008 alipigwa nje ndani. Watu hawapendi ukweli. Kila jambo na wakati wake.
 
Wewe Sasa Hapa Naamini Umekula Mchicha Wa Jamaica!!!!

Na Ndiyomana Nikawa Nasema Wapenzi Wa Laliga Ni Watoto Walioanza Kutazama Mpira 2009 na Kuipenda Laliga Santander baada Ya Kumuona Mfalme Messi! Na Wale Wakubwa ni Wale Wasiojua Mpira...

Ukifanya Comparison Kwa Baadhi Ya Mambo unatakiwa Uhifadhi Kumbukumbu! Venginevyo utaishia Kuumbuka!

Nitakupa Baadhi Ya Mifano tu ili ujione wewe Ni Kunguni Kimawazo!!

1) Real Walimsajili Michael Essien (Alikuwa Anaoze Benchi Chelsea)

2) Atletico Wamemsajili Torres (Alikuwa Anaozea Benchi Chelsea mbele ya Drogba)

3) Atletico Wanamtaka Diego Costa (Hana Namba Chelsea na Kafukuzwa)..

4) Celts Vigo Wamemsajili
Iago Aspas (Alikuwa Bench Liverpool)

5) Valencia Wamemsajili Samir Nasri (Bench Arsenal)

6) Real Walimsajili Arjen Robben (Bench Chelsea)

7) Atletico Walimsajili Diego Forlan (Bench Man United)


7) Real Walimsajili Jersy Dudek (Bench alimkimbia Pepe Reina Liverpool)

8) Barcelona Walimsajili Gerrard Pique (Bench Man United)

10) Hata Florent Sinama Pongole Alikuwa Bench Liverpool Wakati Spain Kawa Star.

11) Liverpool Walimsajili Fernando Torres (Mchejazi Wao Muhimu Aliyevuliwa Ucaptain Atletico ili aje Liverpool
)

12) Man City Walimsajili Aguero (Panga pangua Atletico)

13) Chelsea Walimsajili Diego Costa (Panga pangua Atletico)

Na hawa Kina Juan Mata, Ander Herrera, Robinho, Ozil n.k. wote Walikuwa Panga Pangua Kule Spain...

Kwahiyo Kabla Ya KuniQuote Jua Mimi Nimeanza Kufatilia Mpira Zamani na Kumbukumbu Zote Ninazo.....

Hii Kuuziana Wachezaji Wa Bench Ni Sifa Ya Mpira Dunia Nzima Timu Zinafanya Hivyo Si EPL pekee tu.. Kwani Mchezaji Kukaa Benchi Haimaanishi Kuwa Ni Mbovu Bali Wengine Hawajapewa Nafasi tu... Kwa Mfano:-

1) Mo Salah Chelsea Alikaa Bench! Je sasahivi Wakiuziwa Na Liverpool Wataweza Kumueka Bench? (Ni Kwamba Chelsea Hakupeawa Nafasi tu akaprove)..

2) Diego Forlan Alikaa Bench Man United Kwasababu Hakuendana na Mfumo.. Lakini Alipofika Atletico Kina Etoo na Messi waliiona Shuhuli take manake Miaka Miwili Mfulilizo aliwapiku Kuwa Mfungaji Bora.

3) Robben Chelsea Hakupewa nafasi Lakini alipofika Real na Beryan Shuhuli Yake inajuilikana..

4) Sanchez ni Sawa na Henry na Ibrahimovic na Fabregas! Hawakuendana Na Mfumo Wa Barcelona lakini Hawakuwa Wabovu Hata Kidogo....

5) Gerrard Pique Hakuwa Mbovu Pale Man United lakini Kwa Wakati Hule Ni Vigumu Kucheza Mbele ya Rio na Vidic Kwani uwezo wao Ulikuwa Ni Mkubwa....

So, Jipange tena...
Umemaliza. Nilitaka kumpa hivyo vidonge.
 
Mkuu hiz timu kama Barcelona na Real ni timu ambazo ni kubwa mno kutokana na investment yake so hata ukizileta epl lazima zitawaacha mbali wenzake kama ilivyo huko laliga lakin haimaanishi zilizobaki ni mbovu kwani sevilla huoni imefanya vizuri sana kwenye europa league. Huko epl timu haziachani sana kwa sababu investment zinakarbiana lakin haimaanishi kwamba ndo zinakuwa bora
Mkuu ubora wa timu ni ushindani,ligi karibu misimu yote ni barca na madrid hapo utasema hiyo ligi ni bora?
 
One horse race? How? kwani Madrid hakuwahi kufungwa na Man Utd au Arsenal? Au barca alivokuwa akitolew Jasho na chelsea mpaka abebwe, au tukumbushane madrid alivopewa miba mitatu aitafune na spurs timu ya sita kwenye EPL? nasikia CATALAN ikijetenga Barca inaweza kujoin EPL... Nina hamu itokee :D :D :D
Hawakumbuki Madrid akiwa kwenye ubora mpaka kuchukua ubingwa ucl mara 2 mfululizo ndo alimfunga Liverpool aliyekuwa mbovu, lakini Liverpool akiwa katika ubora wa kawaida na Madrid kama kawaida yake na stars wakubwa alikaa nje ndani ucl.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom