Sometimes wanaume wanachangia mwanamke kuchepuka

Sometimes wanaume wanachangia mwanamke kuchepuka

Km tatizo ni kukojoeshwa hebu nitafute mana hy jamaa yk hana maufundi mm dakika 10 tu nakutoa mchuzi juu!!
 
ata umwambie inasaidia nini wakati ishalegea kama mlenda mkuu wanaume siku hizi wamekua walaini sana...
Mambo hayo Na nyie mnachangia. Ukiwa Na Mke anataka ukonect na wengi wetu tunapenda kupozi ili tuendelee yeye anaghairi. Unaomba weeeee hajali mwishowe ili kuondoa matatizo unazoea kimoja ingawa hata wewe huriziki. Baadaye mnalamika. Hakuna mwanaume anafurahia kimoja. Wengine mmezoea mtu azame bila kuzama mwanamke hakojoi. Mna matatizo nyie wasomi
 
Nafikir ni wanaume wachache ukimwambia tufanye hivi turidhishane wengi wanaishia kutoa majibu yasiyo mazurii au kusitisha penz kabisa, atasema ulizoea umalaya ndio uriziki au mwingine atajibu kama ckurizishi nenda kwa watakaokuridhisha ila mwanaume wakujitambua ukiambiwa hivyo kwa furaha atamjibu mkewe tufanyeje ili kila mtu arizike au bas mume anaweza kusema nitakuridhisha kwanza ww afu ndio mie, hivyo tujitahid Muda wakuongea na wapenz wetu kuhusu maswala ya ufukweni
 
Back
Top Bottom