ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,531
- 44,641
Juzi jumapili niliamka naumwa mafua makali na kichwa kikawa kinauma na kikohozi kimenishika.nikaenda hospital kupima malaria na UTI nikakuta Sina siumwi chochote Cha ajabu daktari akaniandikia dawa nne
Diclofenac,Ampiclox,Predilone Na nyingine jina lake nimesahau.mimi kwa kuwa madawa nayaogopa nikaamua kutokunywa hata moja nione mwisho wake na kweli Jana hio na Leo mimeamka mzima kabisa siumwi chochote na Hali imerudi Kama kawaida.so nawashauri madaktari muwe mnaangalia njia nyingine za tiba Kama vile kumshauri mtu kutumia vitu natural kama tangawizi,garlic,kunywa maji mengi Sana,matunda n.k ambavyo havina madhara kuliko kumpa mtu madawa hata Kama haumwi ugonjwa serious Sana wakati mnajua kabisa mwili una immunity yake kubwa TU ya kujitibu wenyewe.kama ningesema nimeze hayo madawa nisingepata chochote zaidi ya kujaza masumu tu mwilini.
Diclofenac,Ampiclox,Predilone Na nyingine jina lake nimesahau.mimi kwa kuwa madawa nayaogopa nikaamua kutokunywa hata moja nione mwisho wake na kweli Jana hio na Leo mimeamka mzima kabisa siumwi chochote na Hali imerudi Kama kawaida.so nawashauri madaktari muwe mnaangalia njia nyingine za tiba Kama vile kumshauri mtu kutumia vitu natural kama tangawizi,garlic,kunywa maji mengi Sana,matunda n.k ambavyo havina madhara kuliko kumpa mtu madawa hata Kama haumwi ugonjwa serious Sana wakati mnajua kabisa mwili una immunity yake kubwa TU ya kujitibu wenyewe.kama ningesema nimeze hayo madawa nisingepata chochote zaidi ya kujaza masumu tu mwilini.