Somebody from somewhere!

Somebody from somewhere!

Jaguar

JF-Expert Member
Joined
Mar 6, 2011
Posts
3,440
Reaction score
1,029
Jamaa mmoja alioa mwanamke aliyekwisha kuolewa na kuachika na wanaume wawili.Cha ajabu huyu mwanamke alikuwa bikra bado.Jamaa akaamua kumuulizia,imekuwaje aolewe na kuachika mara mbili na bado ana bikra?.Mke akajibu;Mume wangu wa kwanza alikuwa muuza ice cream,alikuwa ananiramba tu.....Mume wangu wa pili alikuwa ni mpiga picha,alikuwa ananipiga picha tu.Mume akajibu;basi kwangu kazi unayo mama,mimi ni MZIBUA VYOO!
 
Nimeipenda hiyo. My worry is that woman won't loose her virginity!
 
Lo hapo ndo kapotea nia bora arudi kwa wakwanza
 
HahahahahahahahahahahahahahaHahahahahahahahahahahahahaha.........shenzi taip, hapo lazima aombwe T
 
Back
Top Bottom