Hata humu, wakenya wengi wanakubaliana na ukweli kwamba Tanzania ni nchi ya mfano, lakini kwasababu hapa ni mabishano zaidi, sio rahisi kwao kukubali kirahisi, ila wanapokua huko kwenye tweeter na facebook, huwa wanasema wazi wazi kwamba Tanzania sio nchi ya kulinganisha na Kenya, hasa kuhusu uongozi wa nchi, wengi sana wanamkubali Magufuli.Seems humu ndani hakuna wise Kenyans. BTW i won't be surprised if the price of Kenya's BRT is twice that of DART! U know Kenya...
menyewe ka menyewe...yaani nimecheka kwa sauti mkuu hadi watu wananishangaa...Menyewe Kwa Menyewe
Wanatumaindi sana jombaa. Sijui hata sisi pia tuwafate kule insta?Kweli Tanzanians you are obsessed with Kenya, mpaka mnafuata what Kenyans are discussing on twitter duh!
Kule insta kuna vichaa na low IQs bora usiendeWanatumaindi sana jombaa. Sijui hata sisi pia tuwafate kule insta?
Dah! Ulidhani nipo serious? Haya basi tueleze kinachoendelea huko insta kwa wabongo.Kule insta kuna vichaa na low IQs bora usiende
Kule ni maswala ya makalio nani anakalio kubwa kuliko mwenzane ,nani na nani wanachomekana dyu dyu ,nani shoga na nani msagaji !Dah! Ulidhani nipo serious? Haya basi tueleze kinachoendelea huko.
Wangeweka block badala ya kuchora linekuiga?.. bbc kuweni na adabu. hawajafikia hata robo yake.
acha tu waendelee kuchira mistari.
View attachment 737105