SOMBETINI SPECIAL THREAD: Kampeni zote za CHADEMA hapa!

SOMBETINI SPECIAL THREAD: Kampeni zote za CHADEMA hapa!

Arushaone

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2012
Posts
15,235
Reaction score
13,539
Tutakuwa tutakuwa tunawaletea yanayotokea hapa SOMBETINI kwenye thread hii.

Leo tuko hapa NGUSERO kata ya Sombetini, Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema ndio anahutubia.
 
Lema ni jembe, uchaguzi wa sombetini wananchi watatajirika sana ....... ccm wanatembeza fedha kama njugu mkutano hawataki kuufanya
 
Naipenda sana CDM,nawapenda wanachama wake wote
 
Viva LEMA na wagombea wrote wa udiwani. Mola atawasaidia mpaka mpate ushindi.
 
Lema jasho linamshuka kwani ccm Arusha hawana taimu na huo uchaguzi mpaka sasa Lema ameshaa fanya mikutano kama kumi ccm hatakutingishika bado
 
Viva LEMA na wagombea wrote wa udiwani. Mola atawasaidia mpaka mpate ushindi.

kwa nini sasa mumeshakataa tama kabisa au munaumwa kwa jinsi munavyozomewa, kutokushiriki kwenu kumesababishwa na mwenyekiti wenu aliyemdharaurilisha Kinana manake alikuwa mbunge wenu wa zamani , poleni muna visa vingi mumeishiwa nguvu hata ya kampeni
 
Lema jasho linamshuka kwani ccm Arusha hawana taimu na huo uchaguzi mpaka sasa Lema ameshaa fanya mikutano kama kumi ccm hatakutingishika bado

Hakuna ccm Arusha! ilishakufa zamani ndo maana mmeshindwa kuzindua kampeni kwa hofu ya kuzomewa au mkutano kudoda!
 
Hakuna ccm Arusha! ilishakufa zamani ndo maana mmeshindwa kuzindua kampeni kwa hofu ya kuzomewa au mkutano kudoda!

Si mlisema wanasomba watu na malori kutoka Pembezoni mwa miji na maeneo tofauti? watakosaje watu?
 
Si mlisema wanasomba watu na malori kutoka Pembezoni mwa miji na maeneo tofauti? watakosaje watu?

Kwa mara ya kwanza wamasai wamegoma kupanda mafuso yakuwapeleka kwenye kampeni.

MSALANI sasa mtafanyaje mkuu?
 
Last edited by a moderator:
Ccm hawana akili za kutafakari wangekuwa.nazo wange jiondoa.bila shuruti arusha kuliko hivi wanavyo zalilika
 
Mbona thread ya Aminangalo imefungwa! U cant comment anything. Kunanii
 
LEO Waheshimiwa Tundu Lissu, Joshua Nassari wakishirikiana na viongozi wa BAVICHAmwenyekiti John Heche na katibu Deogratius Munishi ndio wanaongoza kampeni hapa SOMBETINI mwisho wa daladala.
 
Back
Top Bottom