OsamaBinLaden
JF-Expert Member
- May 2, 2009
- 706
- 3
Mkuu umesahau kwamba alipoletwa mwanamke mzinifu mbele ya Yesu na Mafarisayo na kunukuu hiyo Torati juu ya uzinifu Yesu aliwambiaje? Si aliwataka wale washitaki kwamba yule ambaye hana dhambi awe wa kwanza kutupa jiwe kumpiga yule mama. Yesu akainama chini na alipoinuka watu wote walishapotea na kumwacha yule mwanamke na Yesu. Yesu akamwambia enenda zako usifanye dhambi tena. Sheria hii ni ya kinafiki sana ndio maana hata Wayahudi hawaitekelezi kama ilivyo sheria ya kuchinja wanyama katika siku kuu zao.
Inashangaza kwamba mambo kama haya ya kupiga wanawake mawe yanafanyika na kushabikiwa katika karne hii ya 21! With things like these who needs barbarism?
kumbukumbu ya torati 17.
Msimtolee BWANA Mungu wenu dhabihu ya maksai au kondoo ambaye ana dosari yo yote au hitilafu ndani yake, kwa kuwa hilo litakuwa chukizo kwake.
[FONT=Arial Narrow,Arial Narrow][FONT=Arial Narrow,Arial Narrow]2[/FONT][/FONT]Ikiwa mwanaume au mwanamke anayeishi kati ya mojawapo ya miji akupayo BWANA, anakutwa anafanya uovu mbele za BWANA Mungu wenu, kwa kuvunja agano lake, [FONT=Arial Narrow,Arial Narrow][FONT=Arial Narrow,Arial Narrow]3[/FONT][/FONT]naye amekwenda kinyume na agizo langu kuabudu miungu mingine na kuisujudia, kama vile jua, mwezi au nyota za angani, [FONT=Arial Narrow,Arial Narrow][FONT=Arial Narrow,Arial Narrow]4[/FONT][/FONT]hili likiwa limeletwa mbele yenu, ni lazima kulichunguza kikamilifu. Ikiwa ni kweli na kuwa limehakikishwa kwamba hili ni chukizo lililofanyika katika Israeli, [FONT=Arial Narrow,Arial Narrow][FONT=Arial Narrow,Arial Narrow]5[/FONT][/FONT]mchukueni huyo mwanaume au mwanamke ambaye amelifanya tendo hili ovu kwenye lango la mji wenu na kumpiga mawe mtu huyo mpaka
afe. [FONT=Arial Narrow,Arial Narrow][FONT=Arial Narrow,Arial Narrow]6[/FONT]Kwa ushuhuda wa mashahidi wawili au watatu mtu huyo atauawa, bali hakuna mtu atakayeuawa kwa ushuhuda wa shahidi mmoja
na hiii jeee?
[/FONT]