Akili Unazo!
JF-Expert Member
- Feb 18, 2009
- 3,930
- 4,893
Soma uone ilivyo bora kubaki njia kuu kuliko kuwa na kamchepuko
BOSS anamwambia sekretari wake: Wiki hii tutaenda wote Arusha kwenye mkutano fanya mipango yote.
SEKRETARI (anamuaga mumewe): Tunaenda na bosi Arusha kwenye mkutano.
MUME (anampigia nyumba ndogo): Mambo safi, wife anaenda kikazi Arusha jitayarishe tujirushe.
SMALL HOUSE (anamwambia mwanafunzi wake wa twisheni): wiki hii nina kazi fulani hakuna twishen mpaka wiki ijayo.
MWANAFUNZI (anampigia simu babu yake (BOSI)): Babu hakuna twisheni wiki hii nakuja kwako.
BOSS anamwambia sekretari wake: Siendi Arusha mjukuu wangu atanitembelea.
SEKRETARI: Mume wangu hatuendi Arusha.
MUME: Aise mpenzi jamaa haendi mipango imeharibika.
SMALL HOUSE (anampigia mwanafunzi): Darasa kama kawaida.
MWANAFUNZI: Babu twisheni iko, nakuja wiki ijayo.
BOSS: Sekretari sorry jitayarishe ile safari ya Arusha iko palepale.
BOSS anamwambia sekretari wake: Wiki hii tutaenda wote Arusha kwenye mkutano fanya mipango yote.
SEKRETARI (anamuaga mumewe): Tunaenda na bosi Arusha kwenye mkutano.
MUME (anampigia nyumba ndogo): Mambo safi, wife anaenda kikazi Arusha jitayarishe tujirushe.
SMALL HOUSE (anamwambia mwanafunzi wake wa twisheni): wiki hii nina kazi fulani hakuna twishen mpaka wiki ijayo.
MWANAFUNZI (anampigia simu babu yake (BOSI)): Babu hakuna twisheni wiki hii nakuja kwako.
BOSS anamwambia sekretari wake: Siendi Arusha mjukuu wangu atanitembelea.
SEKRETARI: Mume wangu hatuendi Arusha.
MUME: Aise mpenzi jamaa haendi mipango imeharibika.
SMALL HOUSE (anampigia mwanafunzi): Darasa kama kawaida.
MWANAFUNZI: Babu twisheni iko, nakuja wiki ijayo.
BOSS: Sekretari sorry jitayarishe ile safari ya Arusha iko palepale.