Soma au chapisha papers za kiuanazuoni https://arxiv.org/

Asante mkuu kwa kushare. Hivi ndio vitu vya msingi katika kujilendelea maendeleo.
 
Ahsante sana hili chimbo lingine la kupata sources kwa kutayarisha articles.
 
Thibitisha Mungu hayupo.


Sasa we jamaa hata kama hii post haikusaidii au haina maana kwako, itendee haki basi kwa kutokuichafua? Utajisikiaje unapost kitu kisha anakuja jamaa anaandika mambo yasiyohusu uzi au kujadili mambo nje ya mada?

Ungekua sahihi endapo ingekua jukwaa la jokes. Natumaini utakua mstaarabu na mtanashati
 
Dah masomo yetu yale ya kiroho na mambo yasiyo na ithibati za kidunia naona hayapo hapa... Ukimpata link ya dark science usisite usisite kuweka kwa ombi
 
Ndio maana kuna difference kubwa sana kati ya mtu kama Kiranga na mtu kama Aspirin!

Thanks man!
@asprin kakukosea nini!? Kama ni utani sawa... Ila kama umemaanisha basi hujatenda HAKI... Kwakuwa hatuwezi kufanana vipawa
 
@asprin kakukosea nini!? Kama ni utani sawa... Ila kama umemaanisha basi hujatenda HAKI... Kwakuwa hatuwezi kufanana vipawa

Mzee unajijibu tena?

Ndio wako tofauti ndio maana nikasisitiza kua kuna Kiranga na kuna Aspirin...two different dudes!

Ubaya umetoka wapi?Sijataja chochote kibaya kwa yeyote,sio Aspirin wala Kiranga...

Sasa sijui wasi wasi wako ni upi mkuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…