Soma 2!

Gabmanu

Senior Member
Feb 9, 2012
161
9
Cjui ni ushamba au ni nn bana.
Kuna shule moja ya msingi ambayo iko interior sana hata maendeleo kwao hakuna bac bwana cku 1 mwalim mkuu alibahatika kwenda shuken na Taxi dah! Madent wote wakatoka kwenda kuishanga wengine walizimia kwa woga. Cku ya 2 lilikuja Lory kubwa kwel haya wakatoka tena kushangaa na ktk mazungumzo yao walijadiliana na kusema,"hili ni DUME lile la jana litakuwa ni JIKE".
 
Cjui ni ushamba au ni nn bana.
Kuna shule moja ya msingi ambayo iko interior sana hata maendeleo kwao hakuna bac bwana cku 1 mwalim mkuu alibahatika kwenda shuken na Taxi dah! Madent wote wakatoka kwenda kuishanga wengine walizimia kwa woga. Cku ya 2 lilikuja Lory kubwa kwel haya wakatoka tena kushangaa na ktk mazungumzo yao walijadiliana na kusema,"hili ni DUME lile la jana litakuwa ni JIKE".

sawa bana umeua kijana! Ha ha ha ha!
 
Cjui ni ushamba au ni nn bana.
Kuna shule moja ya msingi ambayo iko interior sana hata maendeleo kwao hakuna bac bwana cku 1 mwalim mkuu alibahatika kwenda shuken na Taxi dah! Madent wote wakatoka kwenda kuishanga wengine walizimia kwa woga. Cku ya 2 lilikuja Lory kubwa kwel haya wakatoka tena kushangaa na ktk mazungumzo yao walijadiliana na kusema,"hili ni DUME lile la jana litakuwa ni JIKE".

dah..hiyo shuke iko mkoa gani?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom