Solve if U R GENIUS !!!

nilikua nawaangalia tu. hili swali ni fumbo.
Nitawapa kwanza mfano ili ujisahihishe.
MFANO:
1,2,3,4.
je moja ukiijumlisha na namba inayo fuata unapata 3 na mbili ukijumlisha na namba inayoifuata unapata 5, tatu na inayoifuata 7.
#kwenye hilo swali ameweka series kua 9 hadi 1.
akachukua 9 akaizisha na namba inayofuata kwa chini akapata jibu, 8 akazidisha kwa namba inayo fuata chini akapata jibu, 7 akazidisha namba inayo ifuata kwa chini akapata jibu. kakuachia hiyo tatu utoe jibu. mia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…