Solar bora kwa gharama nafuu, warranty mwaka mzima

Hembu niambie mkuu
Kufunga back up kwenye nyumba ni kiasi gani.Na inachukua muda gani charge kuisha.
Nipe mwanga hapo
Backup gharama yake inategemea unataka ubackup nin na nin... na muda inategemeana unataka iwe ulinabackup kwa muda gani manake ni suala la calculation tuu.. mfano ukitaka ubackup taa 15, Tv 32' au 42' then feni mbili na fridge kwa masaa sita hadi 8 kama vitu vyote vinawaka kwa pamoja gharama yake ni sh 2.65m
 
SNL SOLAR LTD inakupatia suluhisho Kwa wewe mteja mwenye kitega uchumi kama stationary, duka, saloon, ufugaji kuku, au ofisi na unasumbuliwa na tatizo la kukatika kwa umeme na kukusababishia matatizo kwa wateja wako, SNL SOLAR LTD inakupatia huduma ya BACK-UP ya umeme itakayokuwezesha kupata umeme muda wote ambao tanesco inapokata.
Backup ni ya teknolojia mpya ambayo umeme wa tanesco unapokata yenyewe itasambaza automatic umeme bila kifaa chochote kuzima.
WASILIANA NASI 0714373488/0762246488
Ofisi zetu zipo Kinondoni Vijana.

View attachment 267049View attachment 267049View attachment 267049View attachment 267049
Nataka nkafunge shamba so nitumie ya watt ngapi mkuu na itakua bei gani..
 
Mkuu nataka niwashe taa 3 pamoja booster nliokuwa naitumia kwenye mziki wa gari. hapo ntatakiwa panel watts ngapi na betri ya ukubwa gani? nipe bei tafadhali
 
Mkuu nataka niwashe taa 3 pamoja booster nliokuwa naitumia kwenye mziki wa gari. hapo ntatakiwa panel watts ngapi na betri ya ukubwa gani? nipe bei tafadhali
Naomba mawasiliano yako... tucheki 0714373488
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom