Wageni walitakiwa kufungua viwanda Tanzania, na sio kufanya Tanzania sehemu ya kuleta mizigo yao.
Ubungo panajengwa soko la jumla la Wachina. Hili soko litakuwa lauza bidhaa za kutoka China kwa bei ya jumla, maana yake watashindana na maduka ya kawaida.
Je, serikali imewafikiria Watanzania na yatayotokea huko mbeleni?
Hii nchi uko inakokwenda inatengeneza vita vya wenyewe kwa wenyewe maana gap la walionacho na wasio nacho linazidi kuongezeka kwa kasi sana.
Mwendazake alijaribu kulipunguza lakini huyu Hangaya kaja na yake. Anyway time will tell.
ANGALIZO: Mimi sio mmoja wa wasio nacho, ni wa walionacho, ila ninawaza tu kwa kuangalia jicho la tatu.
Hii nchi uko inakokwenda inatengeneza vita vya wenyewe kwa wenyewe maana gap la walionacho na wasio nacho linazidi kuongezeka kwa kasi sana. Mwendazake alijaribu kulipunguza lakini huyu hangaya kaja na yake. Anyway time will tell.
Wakiua viwanda, watu wasio na kazi wataongezeka , na panya road pia.. sasa hapo ndio kimbembe kitaanza, hawa viongozi wa bongo wanawaza matumbo yao na vizazi vyao, hawajui kua kwa kufanya hivyo hawatakua salama. Nchi ngumu sana hii.
Nahisi itakuwa ni one stop centra ya waagizaji wakubwa. Yaani mizigo mikubwa mikubwa lengo likiwa inchi za maziwa makuu na inchi zisizo na bahari. Halitakiwa ku- compete na kkoo.
Watanzania kwa kulialia, kulalamika hovyo mara wanataka kutuletea ushoga, mara wanataka kuua maskini na bima, mara wanataka kuua viwanda vyetu. Sisi ni wazee wa kulia lia kwenye keyboard wenzetu wanaangalia fursa wanaingia.
Soon Itakuja Train ya umeme Watu wama BUS wataandamana
Be ready for change na ujifunze kurepond accordingly. Wacha watu waweke INVESTMENT mambo yataji balance tu