Upo wapi.Ninauliza soko la ndimu na ndizi mzuzu. Kuna mzigo upo mbioni kukomaa; kama wewe unajishughulisha na upo interested tuongee biashara vikiwa tayari nikustue ila nijue bei yako kwa plastic ya ndimu na mkungu mmoja wa mzuzu.
Ndoo ya Lita 20Hapo maana yake nini? Plastic ya ndimu ni kitu gani?
Duh kumbe ndoo ya lita 20 ndio inaitwa 'plastic'!? Asante kwa taarifa.
Angesema debe labdaDuh kumbe ndoo ya lita 20 ndio inaitwa 'plastic'!? Asante kwa taarifa.
Sehemu nyongi huwa wanatumia Hilo neno.Hata huku NamtumboDuh kumbe ndoo ya lita 20 ndio inaitwa 'plastic'!? Asante kwa taarifa.
Ninauliza soko la ndimu na ndizi mzuzu. Kuna mzigo upo mbioni kukomaa; kama wewe unajishughulisha na upo interested tuongee biashara vikiwa tayari nikustue ila nijue bei yako kwa plastic ya ndimu na mkungu mmoja wa mzuzu.
[/QUOT unazo chede ngapi
Duh kumbe ndoo ya lita 20 ndio inaitwa 'plastic'!? Asante kwa taarifa.
NifundisheUnajua rejesta??
Sent from my iPhone using JamiiForums
Nifundishe
sarufi hiiNafkiri ni lugha au maneno ambayo yanatumika sehemu maalum, aidha jeshini au anywhere else kama migodini and so on, wanakuwa na lugha na maneno yao binafsi na watu wa eneo hilo wakiongea wenyewe wanaelewana ila mtu wa nje ya hapo akiskia hayo maneno au hiyo lugha anaweza asielewe hata kidogo.
Hiyo ndio rejesta sikumbuki kama ilikuwa kwenye kipengele cha fasihi simulizi au laa, NIMESHASAHAU.
Mkuu unalimia wapi? MSOWERO?Morogoro