Kumbe ni mmbono kaburi huo mwingi sana huko pwaniKwa Kiswahili ni mibono. Mbona inajiotea sana ipo sehemu hasa za makaburi.
Akikujibu naomba nijulishe!Kiongozi tunaomba utoe maelezo kidogo kama ukiupata unautumia vipi kutibu ulcers?
Nataka mizizi yake kwani ndio inahusika kwenye kutibuUnataka mbegu au mti mzima? Ipo mingi sana hapa jirani.
Unatumiaje?Nataka mizizi yake kwani ndio inahusika kwenye kutibu
Tupe matumizi yake tafadhaliNataka mizizi yake kwani ndio inahusika kwenye kutibu
Boss ulifanikiwa kupata huo mmea?Nataka mizizi yake kwani ndio inahusika kwenye kutibu
Aisee hilo jiko ninalo mpaka leo,walipo kuwa wana promote walikuwa wanakupa na kichupa cha hayo mafuta ya mbegu za mimbono yakiisha nanma ya kuyapata ndiyo ilikawa ngumu.Mbegu zake zina mafuta sana, unaweza test mwenyewe ukakausha zeni ukazimenya ukaziwasha zinawaka balaa, kulikuwa hadi na Aina fulani ya majiko yanatumia hizo mbegu za mibono nayo sijui yaliishia wapi,
Inaelezwa hii mibono ilitumiwa sana na watu wa kale enzi hizo kuwasha moto