Mapolomoko
JF-Expert Member
- Feb 16, 2013
- 1,751
- 422
mbona namba haipatikani?
wana jf mimi niko mwanza nina zalisha mayai 1000 kwasiku ni mayai ya kienyeji mwenye mahitaji ani pigie 0762896618
kila try ni tsh 9500/-
namba haipatikani
Natafuta tenda ya mayai yakuku wa kienyeji pamoja na kuku wa kienyeji
pia mayai ya bata mzinga yapo
wana jf mimi niko mwanza nina zalisha mayai 1000 kwasiku ni mayai ya kienyeji mwenye mahitaji ani pigie 0762896618
kila try ni tsh 9500/-
Rombo hakuna kuku kwani?niletee mayai 500 kila siku mimi nipo rombo please.je unayauzaje?
Natafuta tenda ya mayai yakuku wa kienyeji pamoja na kuku wa kienyeji
pia mayai ya bata mzinga yapo
Hahaha...Mkuu unataga mwenyewe?
Rombo ya kimara may beRombo hakuna kuku kwani?
Nipigie nipo singida 0764491751Mwenzenu nauliza wpi nitapata mayai ya kienyeji kwa bei ya jumla ikiwa mimi nipo Mwanza?
Kaka unapatikana..... ni pm haraka tuongee biashara.Naombeni msaada kwa yeyote anayehitaji mayai ya kienyeji, mimi niko Morogoro.
Mkuu mayai yapo huko?Nipigie nipo singida 0764491751
Aiseee!!!;;;Mkuu unataga mwenyewe?