naombeni msaada kwa yeyote anayehitaji mayai ya kienyeji, mimi niko morogoro
naombeni msaada kwa yeyote anayehitaji mayai ya kienyeji, mimi niko morogoro
Mkuu ulikuwa unabip?
Mkuu ulikuwa unabip?
niletee mayai 500 kila siku mimi nipo rombo please.je unayauzaje?
sio kama unazingua kweli, mm nipo rombo upo sehemu gani niwe nakuletea
wana jf mimi niko mwanza nina zalisha mayai 1000 kwasiku ni mayai ya kienyeji mwenye mahitaji ani pigie 0762896618
kila try ni tsh 9500/-
Mkuu unataga mwenyewe?