Soko la Embe kwa hapa Dar.

Soko la Embe kwa hapa Dar.

The Giant

JF-Expert Member
Joined
Jun 24, 2012
Posts
504
Reaction score
96
Habari wakuu,
Nilikuwa nahitaji nianze biashara ya kukusanya Embe msimu huu maeneo ya Pwani humu na kuziuza.
Naulizia kuhusu soko likoje?
Nauza kwa jumla sio rejareja.
Range ya mzigo nnaotegemea kuanza nazo ni 500 hadi 1000.
Mchango wa mawazo wakuu.
 
Mpelekee barhresa
Pale kuna mchezo unafanyika. Wakulima wanatoka na malori ya maembe toka mikoani e.g tabora etc wakifika pale no entry! wanakumbana na madalali ambao huwa mara nyingi wasubirisha kwa makusudi siku kadhaa kwa kigezo ndani kuna foleni hadi yanaiva na kukaribia kuharibika. then wanayanunua kwa bei ya kutupa. Hapa kazi tu pita kule tafadhali ujionee mkulima anavyonyanyaswa.
 
Pale kuna mchezo unafanyika. Wakulima wanatoka na malori ya maembe toka mikoani e.g tabora etc wakifika pale no entry! wanakumbana na madalali ambao huwa mara nyingi wasubirisha kwa makusudi siku kadhaa kwa kigezo ndani kuna foleni hadi yanaiva na kukaribia kuharibika. then wanayanunua kwa bei ya kutupa. Hapa kazi tu pita kule tafadhali ujionee mkulima anavyonyanyaswa.
Aisee niliona kitunkama hicho nilikuta trucks kadhaa zinamwaga tu maji maji kuonyesha dalili kama ya kuharibika na jinsi jua lilivyokuwa kali basi hali haikuwa nzuri kabisa na ndani ya kiwanda sikuona hiyo dalili ya foleni.
Inahuzunisha sana aisee.
 
Habari wakuu,
Nilikuwa nahitaji nianze biashara ya kukusanya Embe msimu huu maeneo ya Pwani humu na kuziuza.
Naulizia kuhusu soko likoje?
Nauza kwa jumla sio rejareja.
Range ya mzigo nnaotegemea kuanza nazo ni 500 hadi 1000.
Mchango wa mawazo wakuu.

Peleka Said Salim Bakhresa chamazi
 
Pale kuna mchezo unafanyika. Wakulima wanatoka na malori ya maembe toka mikoani e.g tabora etc wakifika pale no entry! wanakumbana na madalali ambao huwa mara nyingi wasubirisha kwa makusudi siku kadhaa kwa kigezo ndani kuna foleni hadi yanaiva na kukaribia kuharibika. then wanayanunua kwa bei ya kutupa. Hapa kazi tu pita kule tafadhali ujionee mkulima anavyonyanyaswa.
Wasimamizi wa pale wako wapi mpaka wanakaribisha madalali milangoni dhambi hii wahusika wataibeba
 
Aisee niliona kitunkama hicho nilikuta trucks kadhaa zinamwaga tu maji maji kuonyesha dalili kama ya kuharibika na jinsi jua lilivyokuwa kali basi hali haikuwa nzuri kabisa na ndani ya kiwanda sikuona hiyo dalili ya foleni.
Inahuzunisha sana aisee.
Biashara ya kuoza inafika wakati unakuwa mpole
 
Mrejesho
Nimeenda leo kiwanda cha Bakhresa, pale Mwandege.
Na hili ndo nililoambiwa. Kupeleka" mzigo ni lazima nipate kibali kutoka management. Na kwa sasa kuna watu zaidi ya 100 waliotuma maombi yao ili kuweza kupata kwa urahisi inatakiwa uwe unafuatilia mara kwa mara, na uwe karibu na mhusika anaetoa vibali"
Ikabid niwe mdogo tu.
 
Habari wakuu,
Nilikuwa nahitaji nianze biashara ya kukusanya Embe msimu huu maeneo ya Pwani humu na kuziuza.
Naulizia kuhusu soko likoje?
Nauza kwa jumla sio rejareja.
Range ya mzigo nnaotegemea kuanza nazo ni 500 hadi 1000.
Mchango wa mawazo wakuu.
Maembe tayari unayo na nipe bei yako kama bei ni nzuri mm nitayachukua nahitaji maembe hadi tani 5 ...kilo 5000 za maembe nahitaji na niambie maembe ya aina ulionayo ahsantw
 
Back
Top Bottom