Soko la bata aina ya Moscovy

Soko la bata aina ya Moscovy

Entreprenuare

JF-Expert Member
Joined
Aug 24, 2019
Posts
1,616
Reaction score
1,735
Wakulima na wafugaji Mambo vipi!

Nina plan za kufuga bata wa kienyeji aina ya Muscovy, nataka kufuga kibiashara zaidi, kuanzia mwezi ujao nataka niwe nimeshaanza project hii.

Sasa naomba tupeane uzoefu kutoka kwa wafugaji hasa kuhusu SOKO la hawa bata..

Mimi nipo dsm kimara.
f84f5617-3400-4b94-8d28-c373d1587175.jpg

377220d4-b043-425d-94e7-67af6a1808ab.jpg


aina hiyo ya bata.

Karibuni.
 
Kabla hujaanza project yyoyote ni lazima ufanye market survey, umenishangaza, survey yako badala ya kuifanyia sokoni ,wewe unafanyia mtandaoni. OK, ulipopeleka mboga ndipo utakapokula

Duuh wewe noma,haya bnaa..inaonekana nisingetakiwa kuja kuuliza huku JF, kumbe market intelligence inafanyiwa sokoni tu.
 
Wakulima na wafugaji Mambo vipi!

Nina plan za kufuga bata wa kienyeji aina ya Muscovy, nataka kufuga kibiashara zaidi, kuanzia mwezi ujao nataka niwe nimeshaanza project hii.

Sasa naomba tupeane uzoefu kutoka kwa wafugaji hasa kuhusu SOKO la hawa bata..

Mimi nipo dsm kimara.
View attachment 1195506
View attachment 1195507

aina hiyo ya bata.

Karibuni.
Wachina ndio wanunuzi wakubwa wa bata.
 
mkuu anza kuwafuga hao jamii tu inayokuzunguka ikisha ona tu unao itaanza kuja kununua kwako.
 
Kiongozi una vifaranga vingi sana, unatotolesha mayai?
 
Me ninao kama hao,sema nimefuga kama wa chakula tu..

Ukipata soko la uhakika toa feedback mkuu,ili tuchangamkie fursa
 
Me ninao kama hao,sema nimefuga kama wa chakula tu..

Ukipata soko la uhakika toa feedback mkuu,ili tuchangamkie fursa

Usijali kiongozi wangu, ndio bado nafanya research, ila soon project itaanza, nitakuja kutoa mrejesho humu.
 
Me ninao kama hao,sema nimefuga kama wa chakula tu..

Ukipata soko la uhakika toa feedback mkuu,ili tuchangamkie fursa

Mkuu, itabidi tufuge kibiashara sasa, kwa data nilizo nazo., soko lipo. Ila bado naendelea kujifunza.
 
Mimi nimewafuga wengi Sana, napenda sana ufugaji na huwa natamani siku niwe na Kila aina ya mfugo nyumbani kwangu.

Kuhusu solo nadhani bado Hawa Bata hawajawa for commercial.
 
Mimi nimewafuga wengi Sana, napenda sana ufugaji na huwa natamani siku niwe na Kila aina ya mfugo nyumbani kwangu.

Kuhusu solo nadhani bado Hawa Bata hawajawa for commercial.

Duuh safi sana, mimi nahisi nikufanya Marketing zaidi..
 
Back
Top Bottom