Bamia nyingi zinatoka mto ruvu, ukitaka upige hela, ni masika ya mwezi wa 3 mpaka 7 wakulima wale wanakuwa hawajaanza kuvuna coz ruvu huwa ni mafuriko, wanakimbia wote.
Bamia nyingi zinatoka mto ruvu, ukitaka upige hela, ni masika ya mwezi wa 3 mpaka 7 wakulima wale wanakuwa hawajaanza kuvuna coz ruvu huwa ni mafuriko, wanakimbia wote.