Soko la bamia

isyesye

Member
Joined
Aug 14, 2016
Posts
51
Reaction score
22
Wakuu hv ni miez gani bamia inakuwa na bei nzuri sokoni
 
Wakuu hv ni miez gani bamia inakuwa na bei nzuri sokoni
Bamia nyingi zinatoka mto ruvu, ukitaka upige hela, ni masika ya mwezi wa 3 mpaka 7 wakulima wale wanakuwa hawajaanza kuvuna coz ruvu huwa ni mafuriko, wanakimbia wote.
 
Bamia nyingi zinatoka mto ruvu, ukitaka upige hela, ni masika ya mwezi wa 3 mpaka 7 wakulima wale wanakuwa hawajaanza kuvuna coz ruvu huwa ni mafuriko, wanakimbia wote.
Asante, mkuu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…