Soko la architecture degree

Chiwaso

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2009
Posts
5,725
Reaction score
3,795
Wadau Hi.

Nina dogo wangu amesoma PCM kule Tanga, ila dream yake ni kutinga pale Ardhi University ili akachukue Degree ya Architecture.

Naomba kujua/kujulishwa, je yuko kwenye njia sahii? Na soko la Degree ya Architecture likoje?

Tanks in Advance
 
Soko la Architecture bado lipo,
 
Nasikia ina soko wengi huanza kuona Matunda wakiwa mwaka wa 3 tu wanaanza kushika deal ukiwa smart.
 
Mwambie ajiandae kula msoto kitaa
 
Wadau Hi.

Nina dogo wangu amesoma PCM kule Tanga, ila dream yake ni kutinga pale Ardhi University ili akachukue Degree ya Architecture.

Naomba kujua/kujulishwa, je yuko kwenye njia sahii? Na soko la Degree ya Architecture likoje?

Tanks in Advance
Hakuna chochote,,, hii n kupambana tuuu
 
Wadau Hi.

Nina dogo wangu amesoma PCM kule Tanga, ila dream yake ni kutinga pale Ardhi University ili akachukue Degree ya Architecture.

Naomba kujua/kujulishwa, je yuko kwenye njia sahii? Na soko la Degree ya Architecture likoje?

Tanks in Advance

Mwambie asipoteze muda, aende akasome

Civil engineering
Electrical eng.
Mechanical Eng.
 
Soko la Architecture bado lipo,
THanks Mkuu. Ila naona kuna mixed views. some wanasema, soko gumu na wengine wanasema soko lipo. Unaonaje hapo?
 
Hahah kumbe maana kuna dogo Yupo mwaka wa 5 anakamata deal na anasukuma BM sasa sio gari teh
Hope kila kitukinategemeana na juhudi na network yako. Hapo, kama unanework ya kutosha na upo competent. Hopeful inawezekana.
 
THanks Mkuu. Ila naona kuna mixed views. some wanasema, soko gumu na wengine wanasema soko lipo. Unaonaje hapo?
Kuna dogo mmoja alisomaga architecture diploma,baada ya kumaliza akafanya kazi kama miaka miwili na hapo alienda south africa kufanya kazi,baaa ya miaka miwili kurudi akajiongeza kwenda kusoma degree ya fani iyo iyo architecture nilimshauri abadilishe kozi lakini aligoma na akasema hii fani ina lipa sana
 
Inawezekana Mkuu, ila you have to competent enough. Studio iwe ni sehemu ya maisha yako. I believe inawezekana. Thanks for your time
 
Mwambie asipoteze muda, aende akasome

Civil engineering
Electrical eng.
Mechanical Eng.
kwa nn asipoteze muda Boss, hailipi au?
kwenye level ipi, Diploma, degree au Mstrs
 
1. Asome kozi anayoiweza
2. Awe na uhakika wa kumaliza kozi yake
3. Awe na uhakika wa kuajiriwa atakapo maliza

Mwambie azingatie sana hayo mambo matatu ni muhimu sana linapokuja swala la elimu.
 
mbona iyo kozi ni mzuri kama dogo atakua mtundu.
 
mbona iyo kozi ni mzuri kama dogo atakua mtundu.
Nilimshauri achukue Civil Engineering, kasema haina mvuto kwake. Inaonekanaanataka kukomaa na Architecture studies.
 
kwa nn asipoteze muda Boss, hailipi au?
kwenye level ipi, Diploma, degree au Mstrs

Nakujibu kwa mara ya mwisho.

Lengo kuu la akitekcha katika Tanzania yetu ni kuchora TU, sasa jiulize mtaanai wanachora wangapi? Civil anachora, QS anachora, Env. Eng anachora, Fundi mwashi aliesoma na asie soma veta wanachora pia,

kupata project kubwa kwa hawa watalamu wetu ni mara chache sana na ukipata dili utapewa 5M hapo ndio pesaa kubwa, ila watz wengi ni residential house, huwezi amini hizo wanachora mpak 100,000

zingine zooooote zilizobaki zinaingiliana mfn estate offficer, Construction Manager, clerk of work, project Manager etc.

Civil, Qs ukimaliza shule unaweza hata kwenda kwa mkandarasi ukapoteza muda utalipwa, akitect utaenda kufanya nini??

mwambie dogo asizuzuke na picha na tambo za hao jamaa wakiwa chuo, kitaani ni balaa lingnie

kama anataka ardhi bas akasome BUILDING ECONOMICS
 
Nilimshauri achukue Civil Engineering, kasema haina mvuto kwake. Inaonekanaanataka kukomaa na Architecture studies.
sio kukomaa pcm husomi architecture, sema ana interest nayo tu. usimforce muache kwanza amalize mitihani na apate matokeo mazuri
 
sio kukomaa pcm husomi architecture, sema ana interest nayo tu. usimforce muache kwanza amalize mitihani na apate matokeo mazuri
KIshamaliza SIx, ninaye mtaani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…