Soko kubwa la Mbao lateketea vibaya kwa moto huko Mkoani Shinyanga

Bahimba

JF-Expert Member
May 8, 2013
510
346
Soko maarufu kwa biashara za mbao mjini Shinyanga la Kambarage linateketea kwa moto Muda huu, huku fire wakishindwa kuudhibiti moto huo, umbali kutoka kituo cha fire kuja sokoni ni kama mita 500, lakini hawakufika kwa wakati hivo kusababisha sehemu kubwa ya soko kukeketwa kabisa.
18bc5f297f4739881d51b4ac7213bf77.jpg


Pia soma: Soko la Kariakoo lateketea kwa moto
 
Wangejaribu kucontrol supply of oxygen nadhani wangepata mkaa (natania),zimamoto kwny maonesho huwa wana mikwara hlf kwny reality wameshindwa kuzuia moto 500m pekee
 
Kwa mlio huko Mkoani Shinyanga tafadhali tupeni taarifa kamili kwani kuna taarifa si nzuri kidogo kuwa Soko kubwa la Mbao lililopo eneo la Kambarage limeteketea kwa moto mapema leo hii na mpaka sasa sababu za tukio hilo hazijulikani.

Source : Radio One Stereo hivi punde tu.
 
Back
Top Bottom