Soka la Bongo na kashfa za kulawiti

Soka la Bongo na kashfa za kulawiti

Kama ushahidi upo kwanini usiwekwe hadharani, hii tabia ya kujidai ninao ushahidi ila siwezi weka ni danganya toto. Mfano Walcot na Ashley Cole walihusishwa na kashfa ya ushoga na vyombo vyao vya habari viliripoti, sasa kama bongo watu kama hao wapo kwanini wasiwekwe hadharani?

Asilimia kubwa humu tunatumia feki id so nini hofu? Come direct and say someone is a gay ili kufunga mjadala.
Na baya zaidi Tanzania hufikiria Gay ni Yule anayefanyiwa ndomana wengi hupenda kutumia mtoto rizki, wote hata mnayemuona Basha naye ni Gay haijalishi anamfanya mwenzake wa jinsia moja bila yeye kufanywa, uchafu umetawala wapige vita wote hao sio upande mmoja tu na Kama ushahidi hakuna msikurupuke waandishi wetu wengi habari zao wanaandika kishabiki waziwazi bila kujuwa kazi zao au wanapenda umaharufu tu.
 
Na baya zaidi Tanzania hufikiria Gay ni Yule anayefanyiwa ndomana wengi hupenda kutumia mtoto rizki, wote hata mnayemuona Basha naye ni Gay haijalishi anamfanya mwenzake wa jinsia moja bila yeye kufanywa, uchafu umetawala wapige vita wote hao sio upande mmoja tu na Kama ushahidi hakuna msikurupuke waandishi wetu wengi habari zao wanaandika kishabiki waziwazi bila kujuwa kazi zao au wanapenda umaharufu tu.

Kweli mkuu maana hizi stori zao tushazichoka maana huwezi kemea ushoga huku hao mashoga unawaficha
 
10171109_971447929536952_3931625938031081304_n.jpg
 
habari hii tangu enzi za akina Dwight Yorke?
 
Last edited by a moderator:
mnakumbuka ile ya king kibahdain na yule shoga maarufu aliyekuwa na matiti kabisa ya operesheni, alikuwa anaitwa Dudu, nafikiri ni marehemu
alimuibia kocha huyo hela baada ya kumpa uroda

astakafulah ! jamani huyu mzee wa watu mbona ni ustaadhi wa swala 6
 
Back
Top Bottom