Software ya kutumia modem yoyote(Airtel,tiGO,Vodacom)

dacta_d

Member
Jul 7, 2011
25
3
wadau naombeni mnisaidie jina au link ambayo naweza pata software ambayo itaniwezesha tumia modem yangu yoyote iwe ya airtel, tigo au voda bila kufaya unlock.nlikuwa nayo ila nimeisahau jina na setup yake sina tena
 
asante kaka, ila nimecheki hiyo link nadhani sio ile niliokuwa nayo,ile ilikuwa ya ukweli sana,inakubali karibu modem zote, ngoja nicheki then ntaku update, ila nshaona comments za watu wanasema modem mpya za tigo bado ni shughuli kwe hiyo software yao
 
Back
Top Bottom