wadau naombeni mnisaidie jina au link ambayo naweza pata software ambayo itaniwezesha tumia modem yangu yoyote iwe ya airtel, tigo au voda bila kufaya unlock.nlikuwa nayo ila nimeisahau jina na setup yake sina tena
asante kaka, ila nimecheki hiyo link nadhani sio ile niliokuwa nayo,ile ilikuwa ya ukweli sana,inakubali karibu modem zote, ngoja nicheki then ntaku update, ila nshaona comments za watu wanasema modem mpya za tigo bado ni shughuli kwe hiyo software yao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.