Chief Lugina
JF-Expert Member
- Jul 1, 2011
- 286
- 76
Habari
Leo nakuja na challenge kuhusu Software Development. Imagine leo hii ungekuwa upo final year (chuo) ukisoma COMPUTER SCIENCE,SOFTWARE ENGINEERING ,INFORMATION SYSTEM au ITna ukaambia utaje title ya Project yako based in SOFTWARE DEVELOPMENT.,ungetaja title gani?
Yawezekana kuna watu wana ideas juu ya kitu Fulani but hawawezi ku implement hizo idea zao ,siyo kwa sababu hawajui programming language but ni kwa sababu hawana mda au siyo mhimu sana kwa mda huu. But sote tunajua Kwenye Programminig unaweza kukuta mtu anaweza ku code lakini hana ideas, sasa hii itasaidia wale ma coder kupata ideas na pia itasaidia wale wenye ideas kuona zikiwa implemented.
Mimi naanza na :
1.MOBILE BILLING SYSTEM
Leo nakuja na challenge kuhusu Software Development. Imagine leo hii ungekuwa upo final year (chuo) ukisoma COMPUTER SCIENCE,SOFTWARE ENGINEERING ,INFORMATION SYSTEM au ITna ukaambia utaje title ya Project yako based in SOFTWARE DEVELOPMENT.,ungetaja title gani?
Yawezekana kuna watu wana ideas juu ya kitu Fulani but hawawezi ku implement hizo idea zao ,siyo kwa sababu hawajui programming language but ni kwa sababu hawana mda au siyo mhimu sana kwa mda huu. But sote tunajua Kwenye Programminig unaweza kukuta mtu anaweza ku code lakini hana ideas, sasa hii itasaidia wale ma coder kupata ideas na pia itasaidia wale wenye ideas kuona zikiwa implemented.
Mimi naanza na :
1.MOBILE BILLING SYSTEM