Sofa za Chuma

Sofa za Chuma

boda

JF-Expert Member
Joined
Apr 4, 2014
Posts
346
Reaction score
292
Habari member wa JF, Nauliza hizi sofa za chuma zinatengenezwa wapi kwa hapa DSM, naona kama ni ngumu zaidi kudumu kulinganisha na zile za mbao, Msaada please. Nimeweka na picha ya mfano
5a99a134c40fed7e6b1d927b73aae50b.jpg
 
Habari member wa JF, Nauliza hizi sofa za chuma zinatengenezwa wapi kwa hapa DSM, naona kama ni ngumu zaidi kudumu kulinganisha na zile za mbao, Msaada please. Nimeweka na picha ya mfano
5a99a134c40fed7e6b1d927b73aae50b.jpg
Zikipata kutu hatari bola mbao tu
 
Zikipata kutu hatari bola mbao tu
Reply yako haijamsaidia mleta mada. Yeye kauliza eneo zinapotengenezwa na si ubora wake.
Ni bora ungemuelekeza kwanza, halafu ushauri baadae.
Ndiyo nyie wavurugaji hata linapokuja suala la mahusiano.
Mtu anaweza kuwa na nia ya kubeba mazima sehemu, ukiulizwa sifa ya mhusika, ndiyo utasilibaje? Ilimradi kumvurugia malengo yake mtu.
 
Asikudanganye mtu... Wabongo wanaweza kila kitu... Nenda kwa fundi welding yoyote unayemjua mpe hii picha uone Kama hatoi kitu.
 
Karibu mkuu kwa procuct yoyote inayotokana na chuma. Tunaweza tengeneza design nzuri zaidi ya hiyo. Best quality kwa bei nafuu.
 
Karibu mkuu kwa procuct yoyote inayotokana na chuma. Tunaweza tengeneza design nzuri zaidi ya hiyo. Best quality kwa bei nafuu.
Jieleze vema ,ungeweka at a picha za kazi zenu Kwa faida ya wengine
 
Achana Nazo mkuu ni hatari kwa afya yako hili chuma likishika kitu unaweza jikwaruza au mtoto basi kila Mara kwenda kuchoma sindano ya tetenasi
 
Jieleze vema ,ungeweka at a picha za kazi zenu Kwa faida ya wengine

Kweli inabidi afunguke vizuri, Mobile No, Kama ana account Instagram/facebook
 
Achana Nazo mkuu ni hatari kwa afya yako hili chuma likishika kitu unaweza jikwaruza au mtoto basi kila Mara kwenda kuchoma sindano ya tetenasi
inategemeana na finishing mkuu basi hata vitanda tusilalie vya chuma we endelea kufuga panya kwenye hiyo mimbao
 
Habari member wa JF, Nauliza hizi sofa za chuma zinatengenezwa wapi kwa hapa DSM, naona kama ni ngumu zaidi kudumu kulinganisha na zile za mbao, Msaada please. Nimeweka na picha ya mfano
5a99a134c40fed7e6b1d927b73aae50b.jpg
Mkuu achana nazo hizo zitakutoboa upate tetenasi bure.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom