katibasitti
Member
- Nov 10, 2014
- 61
- 37
yaani kupenda mtu ambaye hakupendi kivile au kiasi hicho hicho inauma sana,maana uwepo wako au kutokuwepo kwako vyote kwake vitakuwa sawa tu,saa nyingine utaonekana kero tu bila sababu.
Fikiria una mtu wako mko mbali mbali,umepata nafasi ya kwenda kumuona, unamuambia anasema sina hela ya nauli,unamwambia basi nitakopa nauli tu nije huko ni muda sijakuona nimekumisi, bado anasema usije, nitakuja mimi baada ya zaidi ya mwezi. Hivi jamani ni nini hiki?!
Yaani kupenda mtu
ambaye hakupendi kivile au kiasi hicho hicho inauma sana,maana uwepo
wako au kutokuwepo kwako vyote kwake vitakuwa sawa tu,saa nyingine
utaonekana kero tu bila sababu.
fikiria una mtu wako mko mbali mbali,umepata nafasi ya kwenda kumuona,
unamuambia anasema sina hela ya nauli,unamwambia basi nitakopa nauli tu
nije huko ni muda sijakuona nimekumisi, bado anasema usije, nitakuja
mimi baada ya zaidi ya mwezi. Hivi jamani ni nini hiki?!
hayatuhusu. This is your private business
Yaani kupenda mtu ambaye hakupendi kivile au kiasi hicho hicho inauma sana,maana uwepo wako au kutokuwepo kwako vyote kwake vitakuwa sawa tu,saa nyingine utaonekana kero tu bila sababu.
fikiria una mtu wako mko mbali mbali,umepata nafasi ya kwenda kumuona, unamuambia anasema sina hela ya nauli,unamwambia basi nitakopa nauli tu nije huko ni muda sijakuona nimekumisi, bado anasema usije, nitakuja mimi baada ya zaidi ya mwezi. Hivi jamani ni nini hiki?!
Acha kulialia na kubali kuwa hutakiwi
Yaani kupenda mtu ambaye hakupendi kivile au kiasi hicho hicho inauma sana,maana uwepo wako au kutokuwepo kwako vyote kwake vitakuwa sawa tu,saa nyingine utaonekana kero tu bila sababu.
fikiria una mtu wako mko mbali mbali,umepata nafasi ya kwenda kumuona, unamuambia anasema sina hela ya nauli,unamwambia basi nitakopa nauli tu nije huko ni muda sijakuona nimekumisi, bado anasema usije, nitakuja mimi baada ya zaidi ya mwezi. Hivi jamani ni nini hiki?!
Yaani kupenda mtu ambaye hakupendi kivile au kiasi hicho hicho inauma sana,maana uwepo wako au kutokuwepo kwako vyote kwake vitakuwa sawa tu,saa nyingine utaonekana kero tu bila sababu.
fikiria una mtu wako mko mbali mbali,umepata nafasi ya kwenda kumuona, unamuambia anasema sina hela ya nauli,unamwambia basi nitakopa nauli tu nije huko ni muda sijakuona nimekumisi, bado anasema usije, nitakuja mimi baada ya zaidi ya mwezi. Hivi jamani ni nini hiki?![/QUOT
kama kusoma huez hata picha huoni...