Ground Zero
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 342
- 95
Serikali ya Zanzibar imevitaka vikundi vyote vinavyotoa mihadhara juu ya katiba na muungano kuacha mara moja kuruhusu tume ya katiba ifanye kazi yake.
Source: ITV
Source: ITV
nimeona...bwa ha ha ha ha ...!nasubiri comment ya mpemba mbishi,takashi nk.
Wewe ni mnafiki na kibaraka huna lolote zaidi ya undumila kuwili. Tundu Lissu alipoongelea hii sheria kandamizi ulikuwa ni mmoja wa wabezaji kisa tu unajikomba kwa magamba.Sio mara ya kwanza kusema kauli hizo.
Wazanzibar hawataweza kamwe kuburuzwa this time, Never..........
Huyo mohamed abood aliyetoa tamko hilo ni wale wale watumwa wa kifikra.
Hii ni haki yetu na kamwe hakuna mtu anayeweza kuizuia
binafsi napenda huu muungano uangaliwe upya ila staili ya ubaguzi na lugha chafu kwa wabara/nyerere waliyokuwa wanatumia hawa jamaa wa uamsho kwa kweli sikuipenda...nimecheka kwa sababu walikuwa wanasema sasa wameungana pamoja na wote nia yao ni kuuvunja muungano lakini hii kauli mpya imewaweka njia panda...!Sioni mantiki ya kucheka hapa, kama hukubaliani na uamsho si lazima ushindwe kufikiria beyond uamsho. Hili suala la katiba mpya linahitaji mdajala mpana sana. Leo wameanza na uamsho unachekelea kesho wakiwapiga marufuku CDM au wakiwakataza kina Pengo kuongelea sidhani kama tutapata katiba bora. Ni matarajio yangu kuwa Uamsho wataupuuzia wito huu wa SMZ
binafsi napenda huu muungano uangaliwe upya ila staili ya ubaguzi na lugha chafu kwa wabara/nyerere waliyokuwa wanatumia hawa jamaa wa uamsho kwa kweli sikuipenda...nimecheka kwa sababu walikuwa wanasema sasa wameungana pamoja na wote nia yao ni kuuvunja muungano lakini hii kauli mpya imewaweka njia panda...!
Wawaache watu watoe mawazo yao kwani wameshaona muungano wa aina ya sasa hauna tija kwa pande zote mbiliwalikuwa wanasubiri nini siku zote hizo?
Serikali ilitakiwa kutoa marufuku hii mapema sana!
Serikali ya Zanzibar imevitaka vikundi vyote vinavyotoa mihadhara juu ya katiba na muungano kuacha mara moja kuruhusu tume ya katiba ifanye kazi yake.
Source: ITV