stable woman
JF-Expert Member
- Nov 12, 2013
- 3,883
- 4,484
Mahitaj yote mbna nilikua natimiza! Hela kila mshahara ukiingia nilikua Nampa % kadha lakn bado tu hakuridhka!! Jaman???
Mpe wote

Mahitaj yote mbna nilikua natimiza! Hela kila mshahara ukiingia nilikua Nampa % kadha lakn bado tu hakuridhka!! Jaman???

Ndo nmeanza kutafuta hvyoJambo LA Maana ni Kumtumia pesa sio kumtumia SMS eti una mmisi!!! Hahahahaha Mpwa tafuta mwingine
Ila na yey aspojirekebisha UKIMWI unamhusuYamekukuta eeeh!!! Amekukomesha kweli huyo. Na bado.
Cna hamu nae kabxaWengi ndiyo michezo yao, na baada ya kuharibu hawaoi, wanapiga chini. huwa waongo sana.
Baada ya kuliwa vya kutosha, lazima apigwe chini. Siku hiyo lazima akutafute na atakuwa mpole mpaka utashangaa
Jaribu kuelewa alichokujibu, uwe unamueleza mambo ya maana tuu sawa sawa!!Kuna mdada ambae tumedumu kimahusiano kwa miaka mitatu Sasa, upendo wangu kwako ulizid kuongezeka kutokana na Ile Hali ya kumkuta bikra, nilimpa vyote alivyostaili kupewa mwanamke. Kilichonifanya niandike uzi huu ni baada ya mwanamke nimpendae kusafir kuelekea Dar kujiendeleza na masomo Yake. Juzi nilimtumia meseji nikamwambia nimemmis Sana lakn cha Ajab alionesha kutopendezwa na sms yangu na hvyo kunijibu"Nilijua una jambo la maana la kunieleza kumbe Hilo" Nifanyej wanajamvi kwa maana nimebaki njia panda
Taratibu nitazoeaPole xna achana nae hy kashaingia mjini ila atambue dar es salaam ni jiji la gharama.
Hahahahahaha! Umenifanya nicheke Sana mkuuUnajua kitu inaitwa coco beach..kapelekwa kapewa muhogo wa kuchoma..
Wengi wao wakifika dar ndo walivyoSio wote
Nmebadir Gia angan natafuta mwinginepole mkuu,hawa wanaotoka vijijini ndio walivyo,msubiri afike mwaka wa tatu atakutafuta ila kabla hujamrudia kapime nae ngoma
HahahahahMwandikie SMS nyingine mwambie "sorry hiyo SMS ya kukumis nimekosea sikukusudia kukutumia wewe"
Kama zp mkuu?Simple...
Anza kumtumia sms za maana
C atanifiris jamanMpe wote![]()
Aiseeeee......kumbe
Ndio.sasa kama sikutaki?Hata wew cute b uko kama yey?
Je kama mim bado nakuhitaj ?Ndio.sasa kama sikutaki?
pesa pesa wewe wape pesa kwanza patia ndululu aka mshiko aka noti aka mafuba halafu utaonaHawa Dada zetu sijui tuwape nini jaman