Sabato masalia
JF-Expert Member
- Oct 16, 2011
- 228
- 134
Nimepokea sms toka 0757087398 inasema " Mheshimiwa Dakta Mwakyembe waziri wa uchukuzi kwanza kabisa poleni sana kwa msiba wa aliyekuwa mkurugenzi wa DTS mhandisi Saad Fungafunga alale pema peponi, baada ya hilo hongera kwa mabadiliko uliyofanya ATCL, nasi huku mamlaka ya bandari TPA tunaomba ili kuleta ufanisi na kuondoa uozo vunja mtandao kwa kuwaondao Ephraem Mgawe[DG],Ahmad Koshuma,Julias Mfuko,Mhandisi Bakari Kilo na mama Florence Nkya, hawa ni tatizo kubwa kwa maendeleo ya bandari pia kama utaweza ili kuokoa reli unganisha pamoja na bandari iwe kitu kimoja kama enzi ya mkoloni , MUNGU IBARIKI TANZANIA