Smartphones, Ipads, Smartwatches, Tablets & Laptops, Projectors

[emoji1] [emoji1]
 
Mkuu ungetoa caption ya kila picha uliyoiweka ingesaidia wateja kujua unachokita!
Japo ni kazi ila jitahidi.
Nitafanyia kazi asee...japo km ulivyosema inakwa vigumu hum ndio maana huwa nashauri kwa maelezo zaid mtu anichek kwenye # yang 0654776976
 
Umevurugwa wewe. Huna lolote kapuku tu. Ungekuwa nahela tusingekuona humu una tapatapa kama bata anaekata roho. Hovyoooooooooooooo
 
Samsung Galaxy Core Prime unauza Tsh ngapi?
 
Naomba kujua bei za
Samsung galaxy s4
Samsung galaxy on7 pro - 391000
Htc m8
 
Mkuu ungetoa caption ya kila picha uliyoiweka ingesaidia wateja kujua unachokita!
Japo ni kazi ila jitahidi.
Dah, yaani km mimi ndio sijuagi aina ya simu, mpaka niione ndio najua kumbe ndio aina husika au nivutiwe na muonekano niulize niambiwe ndio aina fulani !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…