WANAWAKE WA DOT COM WALA HATASOMA HII maana haiwezekani, hata kama baba yake ni askofu na mama yake ni mchungaji na yeye kazaliwa kanisani, kasoma nasari kanisani, darasa lakwanza mpaka lasaba shule ya kanisa, sekondari shule ya masista.
Duh..ila yawezekana, ngumu kama "jiwe", ila yawezekana...
Stori safi kweli...kama ya padri...!
Ebu ngoja nijaribu, ila nikipigwa na mwiko ***** Bujibuji ntakutafuta popote ulipo nikushtaki kwa bashite...
Dear sweetheart Galore ,there is no perfect husband anywhere neither perfect wife!We all have our evilness inside us,ila kujishusha ni jambo la muhimu na msingi sana hasa kwa hawa viumbe waitwao wanaume!!Hakuna mwanaume mkali na mwenye hasira kwa mwanamke mnyenyekevu na msikivu!Halafu dawa yao hawa ni wewe kujishusha muda wote,watakunyenyekea mpaka ufurahi na roho yako!!
My love,nilikua mtu mwema sana tena sana kwa mwanaume wangu,nilijishusha mno na nilimpenda hakuna mfano,you know what he did??!!,these people are so ungrateful kwa kweli,labda huko mbeleni nitapata fungu langu lakini kwa sahivi let me just find a perfect one ambae atakidhi vigezo vyangu
My love,nilikua mtu mwema sana tena sana kwa mwanaume wangu,nilijishusha mno na nilimpenda hakuna mfano,you know what he did??!!,these people are so ungrateful kwa kweli,labda huko mbeleni nitapata fungu langu lakini kwa sahivi let me just find a perfect one ambae atakidhi vigezo vyangu