Smart phones nyumba za ibada, no please!

Huko juu kote nimekuelewa na mimi huwa sifurahishwi na hilo jambo ila hapo mwisho kwenye 3bomba hapo aisee umenifumbua pakubwa,barikiwa kaka
 
Usasa una yake mazuri na ya kuchukiza... Ya nuruni na ya sirini.. Yote hayakwepeki... Kuna moja lililo wazi...! Hata kama hatutapenda kulijadili kwa unafiki na uzandiki wetu... MFUMO KRISTO UNATAWALA DUNIA....!
Mwezi uliopita tulipata msiba mtaani kwetu... Jamaa yetu jirani (mlevi mzuri wa 'pure' namba one alipata ajali na kufariki hapohapo!!! Aligongwa na gari mitaa ya mbezi akitoka kutoa lock... Msiba ulikuwa na kila aina ya vituko kutokana na aina ya maisha aliyokuwa nayo marehemu na aina ya kampani yake... Hii sio kesi kabisa!
Alizikwa kwa imani yake ya kiislam... Ustaadh aliyeongoza ibada ile ya mazishi alikuwa kijana wa makamo lakini wa kileo sana... Pale makaburini aloliongoza ibada ile ya mazishi kupitia iPad kali aliyokuwa kabeba... Juzuu, mistari na utaratibu mzima wa mazishi yale, alitumia version ya mtandaoni kupitia iPad.. Quran for Android ya mtandaoni
Kuna wakati alipata usumbufu wa nadhani jumbe za WhatsApp na za kawaida na kama mara mbili alipigiwa simu alizokata ili uweze kuwa na mwendelezo wa ibada bila bughudha... IPad ile alitumia password kuifunga na kuifungua... Nikajiuliza Ustaadh anajua kweli maana ya password?
Imani yangu ni mkristo, huwa nasali makanisa tofauti.. Kuna baadhi ya makanisa, maaskofu, wachungaji na wahubiri wao huona ni sifa na usasa kutumia downloaded Bible toka kwenye simujanja zao na ipads kusoma neno na nukuu mbalimbali
Nina ukakasi mkubwa kwenye hili... Tunaishi kwenye ulimwengu wa namba ya siri... 666... Namba ya MFUMO KRISTO mpinga KRISTO, lakini wengi wetu hatulitambui hilo...
Siku hizi makufuli na vitasa havina nguvu na thamani kivile... Maisha yetu yametawaliwa na namba ya siri kuanzia
Mitandaoni
Huduma za kifedha
Huduma za bank
Huduma binafsi
Simu zetu
Anuani zetu
Manunuzi yetu
Miamala mbalimbali
Shughuli za kijamii
Shughuli za kidini nknk
Hata miamala na malipo mbalimbali serikalini yanakutambua kwa namba maalum ya mlipa kodi yenye namba ya siri...
Yote juu ya yote simu janja yako (smart phone) uliyo download msahafu kwa imani yako.. Unathubutu vipi kuitumia kwenye nyumba takatifu ya ibada!? Una
Jumbe za mapenzi
Una mapicha ya aibu
Una video za kutia kinyaa
Una calls na mapenzi uhasama na visasi
Una vitu vingi vinavyowakilisha ulimwengu wa giza, sahau nyimbo za mapenzi na Ujinga mwingine, michepuko hata ulozi... Unapata wapi uthubutu wa kuvichanganya hivi na msahafu unaoheshimika na kujaa utakatifu!!?
Hupaswi kulaumiwa kwakuwa hujui...wala Kiongozi wako wa dini hapaswi kulaumiwa kwakuwa hana uwezo wa kulizuia hili.... Dunia inatawaliwa na namba ya siri... Ambayo ni 666.... Namba ya mpinga KRISTO.... Imo mpaka kwenye nyumba za ibada... Zaka na sadaka kwa tigo pesa, mpesa nknk....
Ikubali uishi... Ikatae ufe... Namaanisha namba ya siri 666... Hata kondom zako 3 ni kiwakilishi cha namba ileile ya siri... Matumizi yake unajenga na kuimarisha madhabahu unayojaribu kuipinga.... Utabaki kuwa mjinga....

Lala salama...!!!

Jr
Kaka mshana hili Darasa linafikirisha sana.acha nijitafakari zaidi
 
Usasa una yake mazuri na ya kuchukiza... Ya nuruni na ya sirini.. Yote hayakwepeki... Kuna moja lililo wazi...! Hata kama hatutapenda kulijadili kwa unafiki na uzandiki wetu... MFUMO KRISTO UNATAWALA DUNIA....!
Mwezi uliopita tulipata msiba mtaani kwetu... Jamaa yetu jirani (mlevi mzuri wa 'pure' namba one alipata ajali na kufariki hapohapo!!! Aligongwa na gari mitaa ya mbezi akitoka kutoa lock... Msiba ulikuwa na kila aina ya vituko kutokana na aina ya maisha aliyokuwa nayo marehemu na aina ya kampani yake... Hii sio kesi kabisa!
Alizikwa kwa imani yake ya kiislam... Ustaadh aliyeongoza ibada ile ya mazishi alikuwa kijana wa makamo lakini wa kileo sana... Pale makaburini aloliongoza ibada ile ya mazishi kupitia iPad kali aliyokuwa kabeba... Juzuu, mistari na utaratibu mzima wa mazishi yale, alitumia version ya mtandaoni kupitia iPad.. Quran for Android ya mtandaoni
Kuna wakati alipata usumbufu wa nadhani jumbe za WhatsApp na za kawaida na kama mara mbili alipigiwa simu alizokata ili uweze kuwa na mwendelezo wa ibada bila bughudha... IPad ile alitumia password kuifunga na kuifungua... Nikajiuliza Ustaadh anajua kweli maana ya password?
Imani yangu ni mkristo, huwa nasali makanisa tofauti.. Kuna baadhi ya makanisa, maaskofu, wachungaji na wahubiri wao huona ni sifa na usasa kutumia downloaded Bible toka kwenye simujanja zao na ipads kusoma neno na nukuu mbalimbali
Nina ukakasi mkubwa kwenye hili... Tunaishi kwenye ulimwengu wa namba ya siri... 666... Namba ya MFUMO KRISTO mpinga KRISTO, lakini wengi wetu hatulitambui hilo...
Siku hizi makufuli na vitasa havina nguvu na thamani kivile... Maisha yetu yametawaliwa na namba ya siri kuanzia
Mitandaoni
Huduma za kifedha
Huduma za bank
Huduma binafsi
Simu zetu
Anuani zetu
Manunuzi yetu
Miamala mbalimbali
Shughuli za kijamii
Shughuli za kidini nknk
Hata miamala na malipo mbalimbali serikalini yanakutambua kwa namba maalum ya mlipa kodi yenye namba ya siri...
Yote juu ya yote simu janja yako (smart phone) uliyo download msahafu kwa imani yako.. Unathubutu vipi kuitumia kwenye nyumba takatifu ya ibada!? Una
Jumbe za mapenzi
Una mapicha ya aibu
Una video za kutia kinyaa
Una calls na mapenzi uhasama na visasi
Una vitu vingi vinavyowakilisha ulimwengu wa giza, sahau nyimbo za mapenzi na Ujinga mwingine, michepuko hata ulozi... Unapata wapi uthubutu wa kuvichanganya hivi na msahafu unaoheshimika na kujaa utakatifu!!?
Hupaswi kulaumiwa kwakuwa hujui...wala Kiongozi wako wa dini hapaswi kulaumiwa kwakuwa hana uwezo wa kulizuia hili.... Dunia inatawaliwa na namba ya siri... Ambayo ni 666.... Namba ya mpinga KRISTO.... Imo mpaka kwenye nyumba za ibada... Zaka na sadaka kwa tigo pesa, mpesa nknk....
Ikubali uishi... Ikatae ufe... Namaanisha namba ya siri 666... Hata kondom zako 3 ni kiwakilishi cha namba ileile ya siri... Matumizi yake unajenga na kuimarisha madhabahu unayojaribu kuipinga.... Utabaki kuwa mjinga....

Lala salama...!!!

Jr
Kongole mkuu , ila usasa bado haujafika vijijini sana , ni furaha na burudani vile washindanapo kufungua biblia takatifu na masahafu uwa nainjoyi nikifika huko.
 
Usasa una yake mazuri na ya kuchukiza... Ya nuruni na ya sirini.. Yote hayakwepeki... Kuna moja lililo wazi...! Hata kama hatutapenda kulijadili kwa unafiki na uzandiki wetu... MFUMO KRISTO UNATAWALA DUNIA....!
Mwezi uliopita tulipata msiba mtaani kwetu... Jamaa yetu jirani (mlevi mzuri wa 'pure' namba one alipata ajali na kufariki hapohapo!!! Aligongwa na gari mitaa ya mbezi akitoka kutoa lock... Msiba ulikuwa na kila aina ya vituko kutokana na aina ya maisha aliyokuwa nayo marehemu na aina ya kampani yake... Hii sio kesi kabisa!
Alizikwa kwa imani yake ya kiislam... Ustaadh aliyeongoza ibada ile ya mazishi alikuwa kijana wa makamo lakini wa kileo sana... Pale makaburini aloliongoza ibada ile ya mazishi kupitia iPad kali aliyokuwa kabeba... Juzuu, mistari na utaratibu mzima wa mazishi yale, alitumia version ya mtandaoni kupitia iPad.. Quran for Android ya mtandaoni
Kuna wakati alipata usumbufu wa nadhani jumbe za WhatsApp na za kawaida na kama mara mbili alipigiwa simu alizokata ili uweze kuwa na mwendelezo wa ibada bila bughudha... IPad ile alitumia password kuifunga na kuifungua... Nikajiuliza Ustaadh anajua kweli maana ya password?
Imani yangu ni mkristo, huwa nasali makanisa tofauti.. Kuna baadhi ya makanisa, maaskofu, wachungaji na wahubiri wao huona ni sifa na usasa kutumia downloaded Bible toka kwenye simujanja zao na ipads kusoma neno na nukuu mbalimbali
Nina ukakasi mkubwa kwenye hili... Tunaishi kwenye ulimwengu wa namba ya siri... 666... Namba ya MFUMO KRISTO mpinga KRISTO, lakini wengi wetu hatulitambui hilo...
Siku hizi makufuli na vitasa havina nguvu na thamani kivile... Maisha yetu yametawaliwa na namba ya siri kuanzia
Mitandaoni
Huduma za kifedha
Huduma za bank
Huduma binafsi
Simu zetu
Anuani zetu
Manunuzi yetu
Miamala mbalimbali
Shughuli za kijamii
Shughuli za kidini nknk
Hata miamala na malipo mbalimbali serikalini yanakutambua kwa namba maalum ya mlipa kodi yenye namba ya siri...
Yote juu ya yote simu janja yako (smart phone) uliyo download msahafu kwa imani yako.. Unathubutu vipi kuitumia kwenye nyumba takatifu ya ibada!? Una
Jumbe za mapenzi
Una mapicha ya aibu
Una video za kutia kinyaa
Una calls na mapenzi uhasama na visasi
Una vitu vingi vinavyowakilisha ulimwengu wa giza, sahau nyimbo za mapenzi na Ujinga mwingine, michepuko hata ulozi... Unapata wapi uthubutu wa kuvichanganya hivi na msahafu unaoheshimika na kujaa utakatifu!!?
Hupaswi kulaumiwa kwakuwa hujui...wala Kiongozi wako wa dini hapaswi kulaumiwa kwakuwa hana uwezo wa kulizuia hili.... Dunia inatawaliwa na namba ya siri... Ambayo ni 666.... Namba ya mpinga KRISTO.... Imo mpaka kwenye nyumba za ibada... Zaka na sadaka kwa tigo pesa, mpesa nknk....
Ikubali uishi... Ikatae ufe... Namaanisha namba ya siri 666... Hata kondom zako 3 ni kiwakilishi cha namba ileile ya siri... Matumizi yake unajenga na kuimarisha madhabahu unayojaribu kuipinga.... Utabaki kuwa mjinga....

Lala salama...!!!

Jr
Kweli hapo tumebugi sana. Athari zake kwa kizazi kijacho ni kubwa. Kwa mfano watoto na Vijana katika nyumba za Ibada, badala la kusikiliza Mahubiri au Mwaidha yanayotolewa, wao wanabaki kutathmini (Assess/evaluate) ni simu aina gani ile?, thamani/gharama yake? na zinapatikana kwa shida au kirahisi? nk.nk. Mwisho wa Ibada au Sala yy hana chochote alichojifunza hapo zaidi ya kuongeza matamanio ya ni lini na yy atakuwa na simu kama ile aliyokuwa akitumia Mchungaji au Ustadh.
Hatimaye (na iko wazi kwa sasa) vijana wengi hawahudhurii nyumba za Ibada na kama wakihudhuria basi ni wanahudhuria kimwili tu lakini ki-Roho na Akili na ki-mawazo wapo mbali sana e.g. wapo vijiweni, kumbi za mpira, kwa "marafiki" wao n.k.
Kongole Bro. Mshana Jr. kwa kututanabahisha ili tuchukue Tahadhari 🙏
 
Kweli hapo tumebugi sana. Athari zake kwa kizazi kijacho ni kubwa. Kwa mfano watoto na Vijana katika nyumba za Ibada, badala la kusikiliza Mahubiri au Mwaidha yanayotolewa, wao wanabaki kutathmini (Assess/evaluate) ni simu aina gani ile?, thamani/gharama yake? na zinapatikana kwa shida au kirahisi? nk.nk. Mwisho wa Ibada au Sala yy hana chochote alichojifunza hapo zaidi ya kuongeza matamanio ya ni lini na yy atakuwa na simu kama ile aliyokuwa akitumia Mchungaji au Ustadh.
Hatimaye (na iko wazi kwa sasa) vijana wengi hawahudhurii nyumba za Ibada na kama wakihudhuria basi ni wanahudhuria kimwili tu lakini ki-Roho na Akili na ki-mawazo wapo mbali sana e.g. wapo vijiweni, kumbi za mpira, kwa "marafiki" wao n.k.
Kongole Bro. Mshana Jr. kwa kututanabahisha ili tuchukue Tahadhari
zingatia hili kwa umakini. jihadhari na biblia ya kielektroniki unayotumia.

tafadhali na tafadhali, nakuomba kwa jina la yesu, soma vizuri hadi mwisho, haitakuchukua zaidi ya dk 5 kusoma na kuiga.

tahadhari muhimu sana!!!

habari watakatifu wapendwa,
i'''''m sure you know that new international version (niv) ilichapishwa na zondervan lakini''' sasa inamilikiwa na harper collins, ambaye pia anachapisha biblia ya kishetani na furaha ya ngono ya mashoga.

toleo la kawaida la niv na kiingereza (esv) sasa limeondoa maneno 64,575 kwenye biblia yakiwemo jehovah, calvary, holy ghost na muweza wa yote kwa kutaja machache tu...

niv na esv pia sasa imeondoa aya 45 kamili. wengi wetu tunayo biblia kwenye vifaa na simu zetu hasa """"programu ya kujifunza biblia ya mzeituni.""""

jaribu kupata maandiko haya katika niv na esv kwenye kompyuta, simu au kifaa chako sasa hivi ikiwa una shaka:

mathayo 17:21, 18:11, 23:14;
alama 7:16, 9:44, 9:46;
luka 17:36, 23:17;
yohana 5:4; matendo 8:37.
...hutaamini macho yako.

kataa kupofushwa na shetani, na usifanye kama wewe hujali. tusisahau alichokisema bwana yesu katika yohana 10:10 (toleo la mfalme james).

suluhisho:
ikiwa ni lazima utumie niv na esv, nunua na uhifadhi toleo la awali la
biblia. nakala ngumu haiwezi kusasishwa. mabadiliko haya yote hutokea wanapokuuliza usasishe programu. kwenye simu yako au kompyuta ndogo nk.

nunua na uhifadhi matoleo ya awali na uhifadhi
yao.

unyakuo utafanyika wakati wowote kuanzia sasa. kila kitu kinachozuia unyakuo kimeondolewa. injili imehubiriwa karibu
kila mahali, unabii wote umekuwa
kutimia.
shetani anafanya kazi kwa bidii sana kuwashughulisha wakristo na mambo ya dunia hii ili siku iwapate bila kutarajia.

hiki pia ni chanzo cha uinjilisti, roho zinakufa.
mungu akubariki!

tuombe sana: """"666"""" alama ya mnyama inatabiri hatimaye kutimia!

iliyoandikwa na: jonathan annobil.

mahakama kuu ya marekani imeamua kuwa mataifa lazima yaruhusu ndoa za watu wa jinsia moja (sodomy) ambayo ilikuwa sababu hiyo hiyo mungu kuharibu sodoma na gomora.
seneti ya marekani pia imepitisha mswada wa afya wa obama kuwa sheria. tayari utekelezaji umeanza. mswada huo ungehitaji wamarekani wote kupandikizwa chip ya utambulisho wa masafa ya redio (rfid) ili kupata huduma ya matibabu.

kifaa kitawekwa kwenye paji la uso au mkono. *hii ni kutimiza unabii ulio katika kitabu cha ufunuo 13:15-18 kuhusu chapa ya mnyama.

je, bado unatilia shaka wakati wa mwisho?
unajua kuwa gari maalum lililotengenezwa kwa obama linajulikana kwa jina la mnyama?

unyakuo umekaribia!

ufunuo 13, unacheza mbele yetu. wengi bado hawajui.
1) kwa nini chip inapandikizwa mahali ambapo biblia inasema
ingekuwa. kwa nini kwenye mkono na paji la uso. kwanini isiwe kwingine?
2) kwa nini inaunganishwa kwenye akaunti yako ya benki? kumbuka biblia inasema hautaweza kununua au kuuza bila alama 666. and guess what!
chip imeunganishwa na maelezo yako ya kifedha.

kinachonivunja moyo zaidi ni kwamba watu wengi kanisani hawataingia mbinguni ikiwa yesu atakuja sasa.

wengi hawajui kwamba mwisho umekaribia. usiniambie kuwa maendeleo yake katika teknolojia au maendeleo.
ikiwa eneo lolote la maisha yako halipatani na neno la mungu, tubu.
ukikosa mbingu kamwe huwezi kukosa kuzimu. fikiri juu yake. kuzimu si mahali pazuri, sehemu mbaya zaidi ni kwamba ni kwa umilele. yeye aliye na masikio, na alisikie neno hili ambalo roho analiambia kanisa.

tafadhali badala ya kutuma na kutuma ujumbe usio na maana. tuma hii kwa kila mtu unayemjua.

fanya kazi ya mwinjilisti.

tafadhali shiriki ujumbe huu kwa anwani zako zote.

umewahi kujiuliza nini kitatokea ikiwa tutaitendea biblia takatifu jinsi tunavyoitendea simu yetu ya mkononi?
kwa kweli hatuwezi kuishi bila simu zetu za rununu.

ni asilimia 7% tu ndio watakaotuma tena ujumbe huu. usiwe miongoni mwa 93% ambao hawatashiriki ujumbe huu.

usitume baadaye. shiriki na utume. mungu akubariki.

dunia inakwenda wapi?

1-marekani imethibitisha kuwa nchi zote duniani ili kujenga mahusiano mazuri na mataifa makubwa ni lazima zikubali ndoa za jinsia moja (mwanamke/mwanamke au mwanaume/mwanaume).
2- ujerumani imesaini tu sheria ambayo inatangaza kwamba hakuna uhusiano wa kimapenzi zaidi, ambayo ni kusema: kaka na dada wanaweza kuolewa, mama na mtoto, baba na binti, nk.
3-mji wa miami sasa unatangazwa kuwa jiji la ununuzi wa ngono ya umma. hiyo ina maana: njiani, kwenda kanisani,
msikitini, sokoni, uwanja wa mpira, ukihitaji mapenzi unaweza kufurahia muda wowote bila shida.
4-canada imeruhusu ngono na wanyama (ngono na wanyama)
5- nchini uhispania: filamu za ponografia zinaruhusiwa katika shule za upili na vyuo vikuu.
6- idhini ya ukahaba wa watoto imetolewa. marg luker anasema kwamba msichana yeyote mdogo katika umri wa miaka 10. ambaye anahisi furaha ya ngono, hakuna mtu anayepaswa kumtetea ili kujua jinsi mwili wake unavyofanya kazi.
7- hatimaye marekani iliruhusu makanisa ya kishetani kufunguliwa hadharani.
ndugu wapendwa, mwisho umekaribia, kuondoka kwa utukufu kunakaribia.
wakristo wanakengeushwa na shetani anataka kuvuta idadi kubwa zaidi ya roho pamoja naye ili kuziondoa kutoka kwa rehema ya kimungu. tuwe makini.

kama una dakika...share ujumbe huu. kwa nini tunalala kanisani, na kukesha kwenye baa? kwa nini ni vigumu sana kuongea kuhusu mungu lakini kusengenya ni rahisi?
kwa nini ni rahisi kupuuza ujumbe kutoka kwa mungu lakini kutuma ujumbe chafu?
utatuma ujumbe huu kwa marafiki zako au utapuuza? kama unampenda mungu, tuma ujumbe huu kwa marafiki zako wa kweli ndani ya sekunde 60.
mungu akubariki. amina!!
 
.
 

Attachments

  • 5dd52726feeccfffc9c326d686d78454.jpg
    5dd52726feeccfffc9c326d686d78454.jpg
    6.7 KB · Views: 1
Back
Top Bottom