Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,380
- 56,078
ule wimbo wa weusi unaitwaje kuhusu maraia wenye gere
gereeeee na hatuachi smart phone!!!!!
ule wimbo wa weusi unaitwaje kuhusu maraia wenye gere
...ha ha haa zinaitwa habari za UFUFUO NA UZIMA
mnisamehe jamani ni hili kabila nalo "vita ni vita" ila naamini ujumbe umefika na vi "tachi vyenu"
ule wimbo wa weusi unaitwaje kuhusu maraia wenye gere
kuna watu wengi sana wanahizi tabia ila nataka nimtolee mfano huyu mmoja wetu hapa ofisini ana simu ya bei ghali ina features kibao na ma app ya kufa mtu kazi yake ku browse tu baada ya lisaa simu haina chaji kwa hiyo huwezi kumpata kwenye simu hata siku moja, utakuta lijitu lina simu ina gps, na madude kibao ambayo hayatumii kwa vyovyote wala hana umuhimu nayo bila kujua kuwa yana mmalizia chaji nashauri kama unajua unatabia hiyo nunua simu moja ya tochi inakaa na chaji vya kutosha iwe kwa ajili ya mawasiliano tuu halafu nunua na hiyo "tachi" kwa ajili ya kuangalia hayo mahabari ya Flora Mbasha yaani inaudhi tangu haya masimu yameingia watu hawapatikani kwenye simu
Ndio maana watu wa siku hizi hawana makuu, akifika nyumbani kwako haombi maji wala soda. Akifika utakuta anasema "dah Tanesco hawa majanga majanga majanga, aisee una bapa au pin ndogo hapo manake kasim kangu kameisha chaji tangu jana" kumbe mwongo alichaji asubuhi na saa tano kameshaisha..
yaani huu ujumbe ulikuwa mahsusi kwa ajili yako, ukiwa na simu kisha uka down load hayo ma app yote uliyoyataja ni simu aina mbili tuu ndiyo zina uwezo wa kukaa na chaji kwa zaidi ya masaa matatu hivyo ni vyema ukawa na simu nyingine kwa ajili ya kupiga kupekea na kutuma ujumbe (nadhani hizi ndizo basic za simu) kingine outlook ni utumwa wa wazungu binafsi nilipata kazi kwenye shirika ambalo makao yake makuu yako marekani (kumbuka tumewazidi masaa saba) basi nikaja ni ka smartphone kangu nika configure outlook kweli mara zote nikawa mimi ndio wa kwanza kupata mail hivyo nikajikuta ninakesha ofisini kwani mbaya zaidi yule mtumaji anaona meseji imeingia na kusomwa saa ngapi kwa hiyo kama ni assignment inabidi uifanyie kazi mapema, kingine kuna huyu kaka ofisini imebidi nimlime memo na sasa natafuta sheria ya kazi ambayo itanipa meno ya kumlima barua ya onyo kwa sababu kazi tunazofanya ni sensitive kidogo nayee muda wote hapatikani kwenye simu ila najua ana latest model ya Samsung ambayo inauzwa kama 1.5 anachokifanya anashinda akimuangalia Flora mbasha, na blog za kikuda lakini wakati akitafuta kutekeleza jukumu anakuwa hapatikani mbaya zaidi amehamia kwenye nyumba yake ambako umeme haujafika yaani ni shidahSimu za sasa ivi sio tu kupokea mzee, upo out of office, outlook umeunganisha na simu msg zote unapata na kujibu pia, whatsup, jamii forum, twitter, facebook hupati kwenye touch zako nazani we ndo ubadilike.