smart phone huu ni ushamba

smart phone huu ni ushamba

illegal migrant

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2013
Posts
1,277
Reaction score
1,121
kuna watu wengi sana wanahizi tabia ila nataka nimtolee mfano huyu mmoja wetu hapa ofisini ana simu ya bei ghali ina features kibao na ma app ya kufa mtu kazi yake ku browse tu baada ya lisaa simu haina chaji kwa hiyo huwezi kumpata kwenye simu hata siku moja, utakuta lijitu lina simu ina gps, na madude kibao ambayo hayatumii kwa vyovyote wala hana umuhimu nayo bila kujua kuwa yana mmalizia chaji nashauri kama unajua unatabia hiyo nunua simu moja ya tochi inakaa na chaji vya kutosha iwe kwa ajili ya mawasiliano tuu halafu nunua na hiyo "tachi" kwa ajili ya kuangalia hayo mahabari ya Flora Mbasha yaani inaudhi tangu haya masimu yameingia watu hawapatikani kwenye simu
 
kuna watu wengi sana wanahizi tabia ila nataka nimtolee mfano huyu mmoja wetu hapa ofisini ana simu ya bei ghali ina features kibao na ma app ya kufa mtu kazi yake ku browse tu baada ya lisaa simu haina chaji kwa hiyo huwezi kumpata kwenye simu hata siku moja, utakuta lijitu lina simu ina gps, na madude kibao ambayo hayatumii kwa vyovyote wala hana umuhimu nayo bila kujua kuwa yana mmalizia chaji nashauri kama unajua unatabia hiyo nunua simu moja ya tochi inakaa na chaji vya kutosha iwe kwa ajili ya mawasiliano tuu halafu nunua na hiyo "tachi" kwa ajili ya kuangalia hayo mahabari ya Flora Mbasha yaani inaudhi tangu haya masimu yameingia watu hawapatikani kwenye simu

unayosema yana ukweli ,ila umeongea kwa jaziba mkuu
 
mnisamehe jamani ni hili kabila nalo "vita ni vita" ila naamini ujumbe umefika na vi "tachi vyenu"
 
kuna watu wengi sana wanahizi tabia ila nataka nimtolee mfano huyu mmoja wetu hapa ofisini ana simu ya bei ghali ina features kibao na ma app ya kufa mtu kazi yake ku browse tu baada ya lisaa simu haina chaji kwa hiyo huwezi kumpata kwenye simu hata siku moja, utakuta lijitu lina simu ina gps, na madude kibao ambayo hayatumii kwa vyovyote wala hana umuhimu nayo bila kujua kuwa yana mmalizia chaji nashauri kama unajua unatabia hiyo nunua simu moja ya tochi inakaa na chaji vya kutosha iwe kwa ajili ya mawasiliano tuu halafu nunua na hiyo "tachi" kwa ajili ya kuangalia hayo mahabari ya Flora Mbasha yaani inaudhi tangu haya masimu yameingia watu hawapatikani kwenye simu

Kama Sijakosea Na Sijasahau Nadhani Kuna Mdau Mmoja Humu Wiki Iliyoisha Alikuja Na Thread Kama Hii Je Iliishia Wapi? ILA Nakuunga Mkono Kwa Ulichokisema Mkuu Tunayashuhudia Mengi Ya Aina Hiyo Na Tatizo Kubwa La Watanzania Na Siyo Baadhi Yetu bali Wengi Wetu Ni USHAMBA ULIOKITHIRI UNAOCHANGANYWA NA KUKULIA KTK MLOLONGO WA MAISHA MAGUMU na ya TAABU NA UKISHAZIKAMATA TU MATOKEO YAKE NDIYO HAYA. Na Hiki Ndiyo Kipimo Kizuri Sana Na Kumjua WAKUJA na ALIYEVIZOEA na KUVIKUTA NYUMBANI. Kwa Mfano Huwezi Kuwakuta Watoto Wa Wenye Pesa Na Mali Zao AU Watu Waliokulia ktk Mazingira Ya ASALI na MAZIWA Wakifanya Hivyo ILA NGOJA SASA GENTAMYCINE AZIKAMATE UONE MIKOGO YAKE. Badala Ya GENTAMYCINE Mimi Kujijenga Kimaisha Kufidia MACHUNGU NILIYOYAPATA MAISHANI Sasa NITAANZA KUTANUA, KUTAKA SIFA ( Watoto wa Mjini Huita KUOSHA ) na KULA BATA. Jamani UMASIKINI ni Mbaya ILA UMASIKINI Mbaya Ni Ule Wa AKILI au FIKRA au UPEO.
 
tatizo ukipiga wakati wa mambo muhimu unasikia "namba unayopiga kwa sasa haipatikani chaji imekwisha jamaa alikuwa anapost utumbu jf tafadhali jaribu tena badae"
 
kuna watu wengi sana wanahizi tabia ila nataka nimtolee mfano huyu mmoja wetu hapa ofisini ana simu ya bei ghali ina features kibao na ma app ya kufa mtu kazi yake ku browse tu baada ya lisaa simu haina chaji kwa hiyo huwezi kumpata kwenye simu hata siku moja, utakuta lijitu lina simu ina gps, na madude kibao ambayo hayatumii kwa vyovyote wala hana umuhimu nayo bila kujua kuwa yana mmalizia chaji nashauri kama unajua unatabia hiyo nunua simu moja ya tochi inakaa na chaji vya kutosha iwe kwa ajili ya mawasiliano tuu halafu nunua na hiyo "tachi" kwa ajili ya kuangalia hayo mahabari ya Flora Mbasha yaani inaudhi tangu haya masimu yameingia watu hawapatikani kwenye simu

hahahaha ni kweli lakini cm yake mwache ajinafas
 
Ndio maana watu wa siku hizi hawana makuu, akifika nyumbani kwako haombi maji wala soda. Akifika utakuta anasema "dah Tanesco hawa majanga majanga majanga, aisee una bapa au pin ndogo hapo manake kasim kangu kameisha chaji tangu jana" kumbe mwongo alichaji asubuhi na saa tano kameshaisha..
 
kuna watu wengi sana wanahizi tabia ila nataka nimtolee mfano huyu mmoja wetu hapa ofisini ana simu ya bei ghali ina features kibao na ma app ya kufa mtu kazi yake ku browse tu baada ya lisaa simu haina chaji kwa hiyo huwezi kumpata kwenye simu hata siku moja, utakuta lijitu lina simu ina gps, na madude kibao ambayo hayatumii kwa vyovyote wala hana umuhimu nayo bila kujua kuwa yana mmalizia chaji nashauri kama unajua unatabia hiyo nunua simu moja ya tochi inakaa na chaji vya kutosha iwe kwa ajili ya mawasiliano tuu halafu nunua na hiyo "tachi" kwa ajili ya kuangalia hayo mahabari ya Flora Mbasha yaani inaudhi tangu haya masimu yameingia watu hawapatikani kwenye simu
Kaka illegal migrant naona umesema kweli. Hata Mungu angetoa ubongo kwa kipimo. Kila mtu apewe kulingana na size yake ya kufikiria. Asiwe na reserve. Sijui wako ungekuwaje!!!
 
Last edited by a moderator:
kuna watu wengi sana wanahizi tabia ila nataka nimtolee mfano huyu mmoja wetu hapa ofisini ana simu ya bei ghali ina features kibao na ma app ya kufa mtu kazi yake ku browse tu baada ya lisaa simu haina chaji kwa hiyo huwezi kumpata kwenye simu hata siku moja, utakuta lijitu lina simu ina gps, na madude kibao ambayo hayatumii kwa vyovyote wala hana umuhimu nayo bila kujua kuwa yana mmalizia chaji nashauri kama unajua unatabia hiyo nunua simu moja ya tochi inakaa na chaji vya kutosha iwe kwa ajili ya mawasiliano tuu halafu nunua na hiyo "tachi" kwa ajili ya kuangalia hayo mahabari ya Flora Mbasha yaani inaudhi tangu haya masimu yameingia watu hawapatikani kwenye simu

...ha ha haa zinaitwa habari za UFUFUO NA UZIMA
 
Kama Sijakosea Na Sijasahau Nadhani Kuna Mdau Mmoja Humu Wiki Iliyoisha Alikuja Na Thread Kama Hii Je Iliishia Wapi? ILA Nakuunga Mkono Kwa Ulichokisema Mkuu Tunayashuhudia Mengi Ya Aina Hiyo Na Tatizo Kubwa La Watanzania Na Siyo Baadhi Yetu bali Wengi Wetu Ni USHAMBA ULIOKITHIRI UNAOCHANGANYWA NA KUKULIA KTK MLOLONGO WA MAISHA MAGUMU na ya TAABU NA UKISHAZIKAMATA TU MATOKEO YAKE NDIYO HAYA. Na Hiki Ndiyo Kipimo Kizuri Sana Na Kumjua WAKUJA na ALIYEVIZOEA na KUVIKUTA NYUMBANI. Kwa Mfano Huwezi Kuwakuta Watoto Wa Wenye Pesa Na Mali Zao AU Watu Waliokulia ktk Mazingira Ya ASALI na MAZIWA Wakifanya Hivyo ILA NGOJA SASA GENTAMYCINE AZIKAMATE UONE MIKOGO YAKE. Badala Ya GENTAMYCINE Mimi Kujijenga Kimaisha Kufidia MACHUNGU NILIYOYAPATA MAISHANI Sasa NITAANZA KUTANUA, KUTAKA SIFA ( Watoto wa Mjini Huita KUOSHA ) na KULA BATA. Jamani UMASIKINI ni Mbaya ILA UMASIKINI Mbaya Ni Ule Wa AKILI au FIKRA au UPEO.

cc mwigulu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom