"Slang" sio kile wanachofikiri

Tunakutana na ma syntax na ma phonology, intonation sijui. Duh!!! Kimalkia sio kabisa aiseee
Hiyo ilikuwa zamani mkuu siku izi havipo yaani vitu vimevunjwavunjwa mno mpaka wanafunzi wanatoka hamna kitu kabisa kwenye EL 1,sio kama enzi zenu za syntax, morphology, phonology na semantics ambapo wanafunzi wanatoka na ngeli ya ngahwengahwe na wakati mwingine ziro kabisa.
Namlaumu alie badirisha hizi dudes mkuu.
 
You've done a bang up job bringing people understand about slang. Thanks
 
Basi enzi zile ilikuwa mambo mema. Kama wametoa hayo sasa wanafundisha nini??
 
Nimetoka kapa....

Kampa kampa tena...

Unazingua...

Bi mkubwa....

Mshua....

Mchuchu.....

Barida mwanangu....

Umetoka chicha....

Mzuka mwanangu...
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…