Slaa na Zitto jukwaa moja?

Slaa na Zitto jukwaa moja?

MIGNON

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2009
Posts
4,114
Reaction score
5,114
Nimeisikia kwenye kipindi cha magazetini sasa hivi.
Wanaopnaga hili wanajua impact yake?
Wamewaza vyema kweli?
Plan A ya matusi,provocation yameshindwa mpaka sasa.
Jambo moja ni wazi,kuna kiu ya mabadiliko.
 
Siasa bana kweli mchezo mchafu, huyu slaa si ndie aliyechochea zito afukuzwe chadema kwamba ni yuda leo hii ati wako pa1, huyu mzee si alisema siasa basi,
 
  • Thanks
Reactions: aye
Majitu mengine afadhali ya ng'ombe !
Ukishaacha kazi ya Kanisa na ukajiingiza ktk kazi za dunia uzeeni matokeo yake ndio hayo.
Natamani nimzabe vibao .Si atulie na mapenzi aliyoamua kuwekeza kwayo
 
Time will tell, Slaa alisema nae ana MOYO wa tissue, hata akienda Na Zitto haitasaidia kama wakati wa changes umefika. MUNGU akisema no ni no.
 
Nimeisikia kwenye kipindi cha magazetini sasa hivi.
Wanaopnaga hili wanajua impact yake?
Wamewaza vyema kweli?
Plan A ya matusi,provocation yameshindwa mpaka sasa.
Jambo moja ni wazi,kuna kiu ya mabadiliko.

umepanic brother!
 
Siasa bana kweli mchezo mchafu, huyu slaa si ndie aliyechochea zito afukuzwe chadema kwamba ni yuda leo hii ati wako pa1, huyu mzee si alisema siasa basi,
Huyu lowassa si aliambiwa fisadi na chadema leo hii katoa hela ndio mgombea binafsi kupitia mgongo wa chadema
 
Majitu mengine afadhali ya ng'ombe !
Ukishaacha kazi ya Kanisa na ukajiingiza ktk kazi za dunia uzeeni matokeo yake ndio hayo.
Natamani nimzabe vibao .Si atulie na mapenzi aliyoamua kuwekeza kwayo

umepanic.ni haki yake ya kidemokrasia
 
Time will tell, Slaa alisema nae ana MOYO wa tissue, hata akienda Na Zitto haitasaidia kama wakati wa changes umefika. MUNGU akisema no ni no.
Ulongea na mungu lini akakuambia ameamua hivyo
 
UKAWA wana mimba ya chuki na ubishi
hawawezi kuzaa Upendo eti wanasema tukipiga
kura tubaki kituoni ulishawahi kusikia wapi
duniani wagiga kura hubaki kituoni ? Kumbe
unakuwa na kichwa kikubwa kichwani lkn akili
hakuna.
 
Kama atasimama na Zito basi ni muendelezo wa kujichimbia kaburi
 
Siasa bana kweli mchezo mchafu, huyu slaa si ndie aliyechochea zito afukuzwe chadema kwamba ni yuda leo hii ati wako pa1, huyu mzee si alisema siasa basi,

Hako kazee sasa kamebuni mladi wa kula pesa za ccm huku zito naye akizitafuna kwa sana, Membe kawaleta pamoja baada ya kutumia yake mapesa ya marehemu Rais wa Libya Kanal Gadafi kuwapatanisha kisha kuwatumia kama Sumu ya kupunguza kasi ya Ukawa, Watanzania wa sasa wanajua kuwa Zito na Slaa wao wanakula pesa kisha wawatumie wananchi kusaka huruma zao.
 
Wapendwa hata Mimi nimesikia hiyo taarifa Slaa na Zito kupandwa jukwaani, lakini nafikiri ndio wanazidi kuongoza kasi ya Mabadiliko kwani hawana jipya ambalo hatujawahi kusikia, maybe wanakuja kumsaidia JPM kufafanua kwanini serikali ya CCM hiyo hiyo ilizikaa Viwanda vyote nchini kwa kujinufaisha na jamii zao na sasa wanataka kufufua tena! Hakuna kupanic...Mabadiliko nje ya CCM ni muhimu! Kumbuka kuzingatia kupiga kura yako vizuri kwenye box sahihi ili isiharibike. Ni maoni yangu.
 
Wapendwa hata Mimi nimesikia hiyo taarifa Slaa na Zito kupandwa jukwaani, lakini nafikiri ndio wanazidi kuongoza kasi ya Mabadiliko kwani hawana jipya ambalo hatujawahi kusikia, maybe wanakuja kumsaidia JPM kufafanua kwanini serikali ya CCM hiyo hiyo ilizikaa Viwanda vyote nchini kwa kujinufaisha na jamii zao na sasa wanataka kufufua tena! Hakuna kupanic...Mabadiliko nje ya CCM ni muhimu! Kumbuka kuzingatia kupiga kura yako vizuri kwenye box sahihi ili isiharibike. Ni maoni yangu.

Nilimsikia mama anna mghwira kama nimekosea jina nisameheni wa act wazalendo akisema magufuli aache kupotosha watu hii tz ni yetu sote na sio ya magufuli
 
Back
Top Bottom