SLAA na MBOWE waiangamiza CHADEMA.

Siasa hizi Dr.Slaa anahutubia mkutano Kigoma amesimama juu ya kigoda, tuliwaambia kuwa Chadema safari imefika wakawa wabishi naona majibu wameyapata.

Yule 'mtabiri' wenu wa JF ([MENTION]Kimbunga[/MENTION]) 'alitabiri' kuwa ziara ya Dr. Slaa kule Kigoma ingeahirishwa...!
Leo yuko kimya kabisa...!!

Hebu angalia 'jamaa' yenu alivyosimama kwenye 'kigoda'..!!
Ina maana 'safari' ya CCM imefika mwisho...!!!

1B+Kinana+akihutubia+Kibondo+mjini.jpg
 
we inakuhusu vipi fanya mambo yako, ukiwezekana na wewe anzisha chama chako na zito wako, kila siku zito zito utafikiri mungu mutu, wabinafsi kama nini
 
Chadema ni mrad wa wenye chama chao icho,ndio maana hawatak kufanya esabu watu wajue matumiz na mapato.michango mbal mbal kwa njia tofaut imetokewa na wananch ipo wapi?ruzuku pia ipo wapi?kama c chama cha watu fulan tuweken waz juu ya ili

Oooopps...!!!
CCM_Cartoon_by_afro_swahili.png
 
Hawa jamaa kwa kweli wameiua Chadema na kuirudisha nyuma sana ,kumbe tatizo ni hela walizochota kwenye chama na hawana wala hawaonyeshi nia ya kuzilipa ,sasa hizi ziara ambazo nazifananisha na za yule ndege Kinana ni kutaka kuziba ufa na kulifuta deni kwa kujazia mahesabu huko kwenye ziara ,ikiwa bado mwaka tu na ushei kuanza kampeni za Uchaguzi Mkuu ziara hizi hazikuwa na maana zaidi ya ufisadi tu wa kuzila hela za Chama na kuwalaghai wananchi.

Madai ya Zito na wenzake kutaka hesabu za Chama yana ukweli kuwa sio bure kuna watu wanakula hela ndani ya Chama chao na hakuna wa kuwahoji ,badala yake wakubwa hao wanadai Chama ni Cha watanzania wote wapenda demokrasia hivi ,hapa pana demokrasia hapa ? Au ni wizi tu na kujirundikia mali kupitia hela za Chama.

Chadema mbona hawaundi tume huru kuchunguza hela ya Chama ? Kuna siri gani kwani tuhuma za kula hela sio ndogo na wahusika wawajibishwe ikionekana kweli.

Nawaonea huruma sana wanachadema ambao hawana mdomo wa kuwahoji viongozi wao na wale wanaowatumainia wakiinua sauti wanafukuzwa na hili genge la watu wachache waliokidhibiti chama.

Poleni sana team Zitto. Mmepata pigo kuu....poleni sana
 
Last edited by a moderator:
Hawa jamaa kwa kweli wameiua Chadema na kuirudisha nyuma sana ,kumbe tatizo ni hela walizochota kwenye chama na hawana wala hawaonyeshi nia ya kuzilipa ,sasa hizi ziara ambazo nazifananisha na za yule ndege Kinana ni kutaka kuziba ufa na kulifuta deni kwa kujazia mahesabu huko kwenye ziara ,ikiwa bado mwaka tu na ushei kuanza kampeni za Uchaguzi Mkuu ziara hizi hazikuwa na maana zaidi ya ufisadi tu wa kuzila hela za Chama na kuwalaghai wananchi.

Madai ya Zito na wenzake kutaka hesabu za Chama yana ukweli kuwa sio bure kuna watu wanakula hela ndani ya Chama chao na hakuna wa kuwahoji ,badala yake wakubwa hao wanadai Chama ni Cha watanzania wote wapenda demokrasia hivi ,hapa pana demokrasia hapa ? Au ni wizi tu na kujirundikia mali kupitia hela za Chama.

Chadema mbona hawaundi tume huru kuchunguza hela ya Chama ? Kuna siri gani kwani tuhuma za kula hela sio ndogo na wahusika wawajibishwe ikionekana kweli.

Nawaonea huruma sana wanachadema ambao hawana mdomo wa kuwahoji viongozi wao na wale wanaowatumainia wakiinua sauti wanafukuzwa na hili genge la watu wachache waliokidhibiti chama.

Haya majzambazi mawili ni hatari sana kwa demokrasia , wanachukulia ugumu wa maisha ya watanzania kula fedha za chama bila kunawa, ni misukule ndiyo itashabikia majamaa haya malafi. Ukihoji fedha tu waitwa msaliti. Ni bora CCM mara mia kuliko CHADEMA ya slaa na mbowe.
 
Lumumba na mapovu juu ya Chadema, Mliyemtuma mwambie awarudishie chenji kwani ameshindwa kutimiza malengo mliyokusudia...., Majambazi wakubwa nyie,
 
Ni chama kimoja tu cha siasa hapa tz ambacho mwenyekiti wake alipata zero (0) form six
Waraka wa Zitto na wenzake unasema...''Elimu ya mwenyekiti ni ya magumashi, hana vision na hana uwezo wa kujieleleza'' ....Tundu Lissu.
 
Hawa jamaa kwa kweli wameiua Chadema na kuirudisha nyuma sana ,kumbe tatizo ni hela walizochota kwenye chama na hawana wala hawaonyeshi nia ya kuzilipa ,sasa hizi ziara ambazo nazifananisha na za yule ndege Kinana ni kutaka kuziba ufa na kulifuta deni kwa kujazia mahesabu huko kwenye ziara ,ikiwa bado mwaka tu na ushei kuanza kampeni za Uchaguzi Mkuu ziara hizi hazikuwa na maana zaidi ya ufisadi tu wa kuzila hela za Chama na kuwalaghai wananchi.

Madai ya Zito na wenzake kutaka hesabu za Chama yana ukweli kuwa sio bure kuna watu wanakula hela ndani ya Chama chao na hakuna wa kuwahoji ,badala yake wakubwa hao wanadai Chama ni Cha watanzania wote wapenda demokrasia hivi ,hapa pana demokrasia hapa ? Au ni wizi tu na kujirundikia mali kupitia hela za Chama.

Chadema mbona hawaundi tume huru kuchunguza hela ya Chama ? Kuna siri gani kwani tuhuma za kula hela sio ndogo na wahusika wawajibishwe ikionekana kweli.

Nawaonea huruma sana wanachadema ambao hawana mdomo wa kuwahoji viongozi wao na wale wanaowatumainia wakiinua sauti wanafukuzwa na hili genge la watu wachache waliokidhibiti chama.



umeongea ukweli ila watu wamelewa uanachama hawataki kukosolewa, ukkosoa unaitwa gamba, mhaini, msaliti. CDM inahtaj mabadlko makubwa, ila wanachama wake nasi hatutak kubadilika
 
Sasa mnakuwa kama majuha kalulu, mnajua nyie wapenzi wa CDM mliomo humu hamtasadia kitu kukipa uhai mwengine chama chenu ,hata muwaite watu magamba ,wapokea buku .wehu hayo yote ni kutokana na kukosa utetezi unaokubalika kwa hapa JF mtajitahidi sana ila huko mitaani chama kinamomonyoka na kumeguka vibaya sana tena kwa kasi ya ajabu ,yaani mlikuwa vinara wa kulipua mabomu ya ufisadi kumbe vile wakuu wenu ndio nao wanaufisadi ndani ya Chama chenyewe ,CDM ilivuma sana mlisahau kama ngoma ikivuma sana ujue yakaribia kupasuka ,leo CDM imepasuka ,kilichobaki ni dakika za majeruhi tu.

Wale mnaoisema CUF au kutaka kujaribu kulinganisha matendo yenu naona mnafananisha papai na boga ,mambo yenu Chadema hayana tofauti na Serikali ya Tanzania kumejaa ufisadi ,tena hao wakuu wa CDM ndio hatari zaidi wanakula hela za wanachama ,wamejifanyia Chama kiwe kisanduku bubu.

Mitaani wameshashituka ,sasa subirini hilo bomu kutoka kwa Zitto na wenzake naamini kabisa bomu lake litashinda mabomu yenu yote mnayoyalipua pale bungeni. Aafu siku za mwizi ni arobaini hilo nalo mlilisahau ikawa mnamega kwa ngoma mdundo. Alibaba na wenzake lazima mlete jawabu la si hivyo achieni ngazi kabla mambo hayajawa makubwa.
 
Back
Top Bottom