Slaa na Lissu hatimaye wameonekana tena!

Slaa na Lissu hatimaye wameonekana tena!

sirluta

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2012
Posts
6,324
Reaction score
2,494
Hawa watu sjui walikuwa wamejificha wapi, leo nimewaona na matamko yao feki, ambaye hajayazoea ana matatizo!
Wameungana na Mbowe kutaka kuandamana.

Wanasema eti askari wapo elf 35, wanategemea waandamanaji milion 20 ukitoa watoto na wamama. Ndo maana nimesema matamko yao ni feki maana kwenye hiyo idadi ameniweka hadi mimi ambae sina mpango huo, amemweka hadi JK ambae hana mpango huo! Wanachadema hawafiki hata milioni! Toeni kafara maana muda umepita sasa hamjaua!
 
Mnaongea utafikiri mmechomolewa vichwa..! yaani ni kubwabwaja mwanzo mwisho

Sasa kama wamekujumuisha wewe nawe unasema huna muda wa kuandamana, kinachokuwasha ni nini mpaka kuanzisha hiziw takataka zako hapa?

Kaa ukijua Chadema na UKAWA kwa ujumla wapo hapa kukutetea wewe na vitoto,mke na wazazi wako wewe kwasababu ni mateka ya mafisadi hujitambui ila ukombozi ukipatikana sisi hatuna kinyongo tutakukaribisha tu kushangilia ushindi...Msukule we

BACK TANGANYIKA
 
Mnaongea utafikiri mmechomolewa vichwa..! yaani ni kubwabwaja mwanzo mwisho

Sasa kama wamekujumuisha wewe nawe unasema huna muda wa kuandamana, kinachokuwasha ni nini mpaka kuanzisha hiziw takataka zako hapa?

Kaa ukijua Chadema na UKAWA kwa ujumla wapo hapa kukutetea wewe na vitoto,mke na wazazi wako wewe kwasababu ni mateka ya mafisadi hujitambui ila ukombozi ukipatikana sisi hatuna kinyongo tutakukaribisha tu kushangilia ushindi...Msukule we

BACK TANGANYIKA

hahahaha wewe umtetee nani? Ukawa na chadema wanajifia wenyewe wana uwezo wa kumtetea nani? Kwahiyo hata Mizengo Pinda ataandamana! Hahahaha

BACK DANGANYIKA! jidanganye mwenyewe! Hao pimbi walijificha kwenye tangazo la ukawa wamekosa promo, wamekuja tena kwenye maandamano!
 
Wanasema eti askari wapo elf 35, wanategemea waandamanaji milion 20 ukitoa watoto na wamama. Ndo maana nimesema matamko yao ni feki maana kwenye hiyo idadi ameniweka hadi mimi ambae sina mpango huo, amemweka hadi JK ambae hana mpango huo! Wanachadema hawafiki hata milioni! Toeni kafara maana muda umepita sasa hamjaua!


Unauwakika wame KU_INCLUDE ?

Kasome tena haalafu anagalia WAJIHI NA NASABA YAKO.
 
by sirluta;
lala wewe!




KALALIWE NA MR NDOVU HAPO LUMUMBA.
 
Sintaamini kwamba maandamano yatafanya kazi bongo since yale ya 2011 yalipogoma kisa babu wa loliondo watu wakaona heri wanywe dawa
 
Sintaamini kwamba maandamano yatafanya kazi bongo since yale ya 2011 yalipogoma kisa babu wa loliondo watu wakaona heri wanywe dawa
Mandamano ni upuuzi tu mkuu hawa watu wanataka tuandamane halafu hawatupi hela ya kula wehu kweli.
 
Kweli umethibitisha Lumumba at work.. Yaani mmeshazoea mkiandamana mnafungwa skafu na mashati yenu mnafanana kama migomba inayotembea..hela yenyewe buku 7 siku nzima halafu mheshimiwa anaingiza siku na laki zake kadhaa.. Walahi bado tuko gizani na bila nyie tutafanikiwa tu
 
Kesho nitawahi home kabla ya taarifa ya habari nione uwezo na mbinu mpya za polisi wetu wanavyowakung'uta wahuni wanywa viroba.
 
Huyu Sirlita Mnampa Pombe Zann? Tena Za Jelo Jelo Mnaona Madhara Yake Hajitambui Kabisa ? Acha Kubishana Nae Saizi Tusubiri Kesho Pombe Zikiisha .
 
Ninautayari wa kuandamana hatakama nitakiona kifo niakupotelea ahela!
 
Hawa watu sjui walikuwa wamejificha wapi, leo nimewaona na matamko yao feki, ambaye hajayazoea ana matatizo!
Wameungana na Mbowe kutaka kuandamana.

Wanasema eti askari wapo elf 35, wanategemea waandamanaji milion 20 ukitoa watoto na wamama. Ndo maana nimesema matamko yao ni feki maana kwenye hiyo idadi ameniweka hadi mimi ambae sina mpango huo, amemweka hadi JK ambae hana mpango huo! Wanachadema hawafiki hata milioni! Toeni kafara maana muda umepita sasa hamjaua!
wapo misukule watakao tolewa kafara. hitler alikua na uwezo wa kuwazuga watu kama lissu slaa na mbowe wanavyofanya hadi uongo kuonekana kweli kumbe ni fascist. njia ya cdm kuelekea ikulu inazidi kua ndoto.
 
Back
Top Bottom