Angel Msoffe
JF-Expert Member
- Jun 21, 2011
- 6,781
- 1,639
kwanini maneno haya usingemwambia hakimu aliyemvua Lema ubunge?Siasa zinatumaliza kiuchumi watanzania jamani!Chonde chonde Lema kata rufaa uokoe mabilioni ya walipa kodi!Hebu angalieni matatizo yalivyotuzunguka jamani,umeme,maji,huduma za afya mbovu!CDM ni chama kinachojali matatizo ya wananchi pls tuoneeni huruma walalahoi!!