Gurudumu
JF-Expert Member
- Feb 5, 2008
- 2,349
- 261
Kwa wale walio mbali na maeneo haya wanafuatilia mkutano huu wanaweza kutazama TC1 Kuanzia saa 9 Kamili , wengine wanaweza kufuatilia kwa njia ya mtandao kama hii .
Kwa wale wanaopenda kuchangia Kampeni hizi wanaweza kutembelea blogu yetu kwa anuani www.marafikiwaslaa.blogspot.com kama una habari zaidi unaweza kututumia kupitia friendsofslaa@gmail.com
Wale wanaopenda kuchangia mkakati wa kutengeneza vipindi vya TV vinavyoendelea kurushwa kwenye vituo mbalimbali vya TV na radio wanaweza kuchangia kupitia namba
+255766334049 MPESA
+255786806028 ZAP
Kama unataka Fulana za DR SLaa na Kofia zenye sahihi yake wasiliana na 0714 667026[/QUOTE]
hiyo namba uliyotoa kwa ajili ya kupata fulana haipokelewi, inakatwa!!!!!!!!
tunathibitishaje kuwa hizo account zinahusika na dr. wa ukweli?
Kwa wale wanaopenda kuchangia Kampeni hizi wanaweza kutembelea blogu yetu kwa anuani www.marafikiwaslaa.blogspot.com kama una habari zaidi unaweza kututumia kupitia friendsofslaa@gmail.com
Wale wanaopenda kuchangia mkakati wa kutengeneza vipindi vya TV vinavyoendelea kurushwa kwenye vituo mbalimbali vya TV na radio wanaweza kuchangia kupitia namba
+255766334049 MPESA
+255786806028 ZAP
Kama unataka Fulana za DR SLaa na Kofia zenye sahihi yake wasiliana na 0714 667026[/QUOTE]
hiyo namba uliyotoa kwa ajili ya kupata fulana haipokelewi, inakatwa!!!!!!!!
tunathibitishaje kuwa hizo account zinahusika na dr. wa ukweli?