Kigarama
JF-Expert Member
- Apr 23, 2007
- 2,492
- 1,230
Alikuwa na uhakika, amepangilia hoja, ushahidi na takwimu.
Zile takwimu kwamba Shukuru Kawambwa (Binamu yake Kikwete?) alitoa taarifa kwamba amajenga matundu ya vyoo (vina Milango?) manne kwenye shule kwa shilingi milioni mia saba (700,000,000/=) imenifanya nichanganyikiwe! Hivi hawa kina Kikwete wana akili kweli??