Slaa amshangaa Kinana

.........anaacha kumshangaa ROSE KAMILI anamshanga KINANA ......nasi tutamshangaa 2015...mwanamume mzima unakaa kushangaa wanaume wenzako alafu bado utasikia ni dr.......ukisoma cv ndiyo utajua ni zile zile phd za Kipaimara....nyambafu...

We unatakiwa usijadili lolote ktk jf kwa kuwa uelewa wako ni wa mashaka. CCM haitakiwi kulalamika bali kutekeleza. Wewe huoni tofauti ya chama tawala na upinzani?
 
Hapa saa ndo umeeleza kwa lugha inayoeleweka.
Exactly.
At least this old man speaks sense most of the times and he gives hopes for a better future,siyo wengine siwataji majina porojo nyiiiingi weee yaani hata kuwasikiliza inahitaji ujikaze sana.
 
.........anaacha kumshangaa ROSE KAMILI anamshanga KINANA ......nasi tutamshangaa 2015...mwanamume mzima unakaa kushangaa wanaume wenzako alafu bado utasikia ni dr.......ukisoma cv ndiyo utajua ni zile zile phd za Kipaimara....nyambafu...
kinana kasharudisha pembe zetu au bado
 
.........anaacha kumshangaa ROSE KAMILI anamshanga KINANA ......nasi tutamshangaa 2015...mwanamume mzima unakaa kushangaa wanaume wenzako alafu bado utasikia ni dr.......ukisoma cv ndiyo utajua ni zile zile phd za Kipaimara....nyambafu...

acha kumtukana Dr. Slaa wewe. Huna adabu kwa wakubwa? Mbona hujaongelea phd ya mr. Kikwete?
 
.........anaacha kumshangaa ROSE KAMILI anamshanga KINANA ......nasi tutamshangaa 2015...mwanamume mzima unakaa kushangaa wanaume wenzako alafu bado utasikia ni dr.......ukisoma cv ndiyo utajua ni zile zile phd za Kipaimara....nyambafu...

gamba at work!!!
 
Wewe Ndio unazeeka vizuri hiyo?at your age you still leading a life of being a puppet and moreover you are still a parasite,shame upon you sometimes you should just let some topics pass without commenting,maana your comments zinatufanya tukujue ulivyo plain.
 
.........anaacha kumshangaa ROSE KAMILI anamshanga KINANA ......nasi tutamshangaa 2015...mwanamume mzima unakaa kushangaa wanaume wenzako alafu bado utasikia ni dr.......ukisoma cv ndiyo utajua ni zile zile phd za Kipaimara....nyambafu...

Inakuchoma kwa vile umenatana na CCM , Ukichukia CDM jiandae kupata presha au vidonda vya tumbo
 

kiongozi mkubwa kwa mafisadi wote wa ccm na vilaza wenzao. kachaguliwa na vilaza wenzake wa ccm. hamna kitu hewa tu.
 
Dr Slaa kwa nini usishangae mpaka leo bado ujafunga ndoa unazeeka. Unamshangaa Kinana.

kwani ndoa lazima, unaweza kuwa umefunga hiyo ndoa na ukakosa heshima mbele ya jamii kwa sababu ya ufisadi wako
 

baba yako je? Kale kapiga kelele, kalikopitisha ma DC na RC?
 
.........anaacha kumshangaa ROSE KAMILI anamshanga KINANA ......nasi tutamshangaa 2015...mwanamume mzima unakaa kushangaa wanaume wenzako alafu bado utasikia ni dr.......ukisoma cv ndiyo utajua ni zile zile phd za Kipaimara....nyambafu...

Nyie ndio wale wale mnaoona wivu baba zenu kulala na mama zenu chumba kimoja.
 

kula kulala!
 
Dr Slaa kwa nini usishangae mpaka leo bado ujafunga ndoa unazeeka. Unamshangaa Kinana.

Kwani baba yako alimdo mama yako akiwa na umri gani? Unajua?
 
Ama kweli mke wa kihaya noma, Dr, Slaaa anamshangaa Kinana akiwa Bukoba kwa wakweze, anapeleka mkutano wa ytuiviongozi twote twa cdm Bukoba ili wamwone mkwe wa maana. Kinana kasemea Mtwara na watu wa Mtwara wamemwelewa, leo hii akiwa na taulo kwa wakweze anaongea yaliyosemwa na wenzake, hana lake. Huyu mzee bwana siku zote anasubiri watu waseme halafu vilaza na vichwa vya senene humu ndani wanashangilia eti katoa hoja. Hoja ipi wakati mdandiaji, ndio maana mhariri wa gazerti lake kamnaga. Sawa shemeji ukatoe mahali, mke wa kihaya si kuzini tu-mwaka jana ulimalizia X-mas na mwaka mpya hapo kijijni Ibwela Kwa mkweo nadhani na sasa unajenga mazingira hayo. JOSEPHINE UNATISHA. Mikoa yote mmmmmh ila Kagera. Ptamu hapo au dcm mnasemaje:majani7:
 







Huyu mzee Slaa is like a startled rabbit caught in headlights,he has no idea and Majority of Tanzanians don't Know what he wants... i think its about time to hang those gloves ... siasa zimeshinda huyu babu


Bora ambaye siasa zimemshinda kuliko yule asiyewaza lolote kichwani yaani kichwa cha nazi!
 

mke wa mtu yupi? Mama yako au kuna mwingine?
 
aache kushangaa shangaa atoe ripoti kwa nini chadema imeshindwa vibaya udiwani licha ya kutumia pesa nyingi zitokanzo n kile kinachoitwa oparesheni sangara(m4c),asitafute pa kutokea yeye kama mtendaji mkuu wa shughuli za chama analo la kujibu

nina wasiwasi na elimu yako na hapo ulipokalia sio salama ndio mana unaropoka.
 

Baba yako alipokuwa anatembea na mama yako kabla hajamuoa alikuwa anapeleka nini ukweni ili wakwe yaani babu yako na bibi yako wamwone wa maana?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…