Yafananafana kama usafiri wa Bulongwa vile! "WIDAMBE", LUPELO,IGESA LINE nk nk
[/QUOTE
Bruh!, umekikumbusha mbali saaaana!, more so kwa hiyo picha ya Mwafrika Coach! duh!, hivi hayo mabasi yapo bado kweli?,manake wengine tumezaliwa tumeyaona, tangu enzi za Leyland Daff! Lol!